Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

166367_o.jpg


Jee, umeiona hii picha? kuna mzungu au Mwaarabu hapo?
Bibi acha upuuzi wa kutetea hao nguruwe Waarabu sio Binadamu miongoni mwa Binadamu ni wanyama nguruwe hao
 
Hao wazungu pia walishawahi kuwa watumwa;

Refer hadithi ya Yusufu katika Biblia, aliuzwa na nduguze katika misafara ya watumwa, akaenda Misri.

Taifa la Israel lilikuwa Utumwani Misri kwa zaidi ya miaka 400.
 
upuuzi tu wacha kunikumbusha mababu zetu walivyofanya kazi bila hata malipo huku wakipewa kila aina ya mateso ifike kipindi tujifanye tumesahau kilichotokea huko enzi.......
 
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu.., ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile.., iliwezekanaje..????!!!

slaves510x492.gif

Watumwa ndani ya minyororo.., wameridhiiika wenyewe..., eti wanapigwa picha!

2006_2637.JPG

Mtoto mtumwa huko Zanzibar.., hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula..., hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa.., linahusiana na yale mambo flani yale..

reward2.jpg

Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.

SlaveShackle_450x397.jpg

Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana.., ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo.., pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa

anamtoboa enka.., u neva know..!

166367_o.jpg

Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu.., yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni waafrika wenzetu kabisa...!!! hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman..., haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho wanyanyasaji wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi..!

Ina aminika bara Asia, ni Japan pele yake ambaye hakutawaliwa. Japan aliwafanya wachina na wakorea watumishi wake.
India walibanwa na waingereza. Ila hawakufikia hatua ya waafrika ya kubanwa kila upande
 
 
Duuh.., utaambiwa we ni mbaguzi wa rangi, unawabagua kisa wanarangi ya nguruwe..😅
Ndugu yangu, kutokana na thread yako bado hata sasa unaweza kuuliza: Hivi inakuwaje Mkuu wa Mkoa mmoja awaambie wakazi zaidi ya milioni 3 wa jiji kubwa kama Dar wasifungue maduka siku ya Jumamosi mpaka ifike saa 4 na wakakubali?
 
Ndugu yangu, kutokana na thread yako bado hata sasa unaweza kuuliza: Hivi inakuwaje Mkuu wa Mkoa mmoja awaambie wakazi zaidi ya milioni 3 wa jiji kubwa kama Dar wasifungue maduka siku ya Jumamosi mpaka ifike saa 4 na wakakubali?
Ndio katiba inasema hivyo..., sasa unataka kuipinga katiba nje ya bunge?
 
duh
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu.., ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile.., iliwezekanaje..????!!!

slaves510x492.gif

Watumwa ndani ya minyororo.., wameridhiiika wenyewe..., eti wanapigwa picha!

2006_2637.JPG

Mtoto mtumwa huko Zanzibar.., hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula..., hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa.., linahusiana na yale mambo flani yale..

reward2.jpg

Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.

SlaveShackle_450x397.jpg

Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana.., ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo.., pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa

anamtoboa enka.., u neva know..!

166367_o.jpg

Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu.., yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni waafrika wenzetu kabisa...!!! hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman..., haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho wanyanyasaji wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi..!
 
Mboni mambo ya kishenzi bado yapo mpaka leo! tena yanafanywa na ndugu wa Damu kabisa! bila wazazi kujua.
 
Hii miaka 5 imeturudisha kwenye ukoloni wa ccm maana adha walizokua wanapata mababu ndio hizihizi za kunyamazishwa midomo, kuteka kutesa kupiga risasi etc zinazofanywa na ccm
 
Tulivyoiweka imani yetu chini na kubeba yakwao ndipo tulipoitupa silaha yetu yakupambana nao.. Imani yetu katika mizimu ilishusha mvua katika jua, ikausimamisha upepo na waliogopa kuona hivyo.. Wakatuambia kuna dhambi kuamini vingine, wakatuonyesha picha ya yule wamuaminie nasi tukamwogopa, wakatupa nguzo zao nasi tukazikumbatia tukiamini ni za haki kufwata.. Wakatubatiza kwa majina yetu tukaitupa imani ikaenda na yale maji tukiamini kua ni dhambi na tutachomwa moto bila kujua kuwa moto unawashwa na viberiti vyao vilivyoandikwa kwenye vitabu vyao.. Walivyoona kua tumeweka silaha yetu ya kuabudu mizimu chini wakatupiga minyororo na kutuuza kama kuku kitanzini..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulivyoiweka imani yetu chini na kubeba yakwao ndipo tulipoitupa silaha yetu yakupambana nao.. Imani yetu katika mizimu ilishusha mvua katika jua, ikausimamisha upepo na waliogopa kuona hivyo.. Wakatuambia kuna dhambi kuamini vingine, wakatuonyesha picha ya yule wamuaminie nasi tukamwogopa, wakatupa nguzo zao nasi tukazikumbatia tukiamini ni za haki kufwata.. Wakatubatiza kwa majina yetu tukaitupa imani ikaenda na yale maji tukiamini kua ni dhambi na tutachomwa moto bila kujua kuwa moto unawashwa na viberiti vyao vilivyoandikwa kwenye vitabu vyao.. Walivyoona kua tumeweka silaha yetu ya kuabudu mizimu chini wakatupiga minyororo na kutuuza kama kuku kitanzini..


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nilipopata akili tu nikaachana na maswala ya dini, ni utumwa tu
 
Back
Top Bottom