Ninyi wapinzani mnamajority ya kupitisha jambo linalichefeua serikali na dola yake?
Unaweza kukosa kujuwa suluhisho la kweli la tatizo unalo lalamikia sababu unafunga uwezekano wa kupokea mawazo mbadala.
Bandiko ni lako lakini hoja ni ya wazi kujadiliwa, sioni tatizo kwa hulka ya binadamu kutaka kusikia anachopenda, wewe sio wa kipekee kiasi cha kukosa udhaifu huu wa kibinadamu.
Kwani hata unao walalamikia hawapendi kusikia unayowataka watupatie.
Mimi niliwasikiliza kwenye kipindi cha malumbano ya hoja ITV wanasema wako huru wanafanya kazi kwa mujibu wa sheriaNimesoma paragraph moja nikaona mnanichanganya
Mambo mengi....
Nitarudi
Nimesoma paragraph moja nikaona mnanichanganya
Mambo mengi....
Nitarudi
sijaona wapi PM amekosea kwenye point yake ..kweli watanzania ni waoga kila mtu anakimbiza ubawa wake...na kwa kielelezo hicho CCM inaweza kutawala milele...kumbuka CCM ni taasisi na taasisi huwa hazifi ila wale viongozi hufa ..na hata viongozi wakifa wanachaguliwa wengine..that why today we dont have Mwalimu,kawawa..sokoine..bibi titi..Karume but CCM bado ipo imara na inaendelea kushikilia dola.......
jaribu kufikiria in that perspective you will see his point....
Pia niliwasikiliza kwenye malumbano lkn kwenye kipima joto wakakimbia, wangeweza kujibu maelezo ya kibamba?Mimi niliwasikiliza kwenye kipindi cha malumbano ya hoja ITV wanasema wako huru wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria
Pengine ingependeza, rais anaandikiwa barua, mahakamani inakwenda kesi na bungeni wanapeleka miswada kama kumi kupitia watu tofauti.
Mimi niliwasikiliza kwenye kipindi cha malumbano ya hoja ITV wanasema wako huru wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria
Tume kuwa shirikishi maana yake wajumbe wake watoke makundi mbalimbali ikiwamo Asasi za kiraia, walemavu, vyama vya Siasa n.k kwa usawaPascal Mayalla,
Si vibaya na ww Paskali ukaweka maelezo ya kina kuhusu tume kuwa huru lakini sio shirikishi, unapotaka iwe shirikishi unamaanisha iwe na muundo gani. Huu ni uzi muafaka wa ile dhana yako
Majibu yangu yanategemea majibu yako ya bandiko 201 kwa baadhi ya maswali.Hili ndilo pendekezo bora zaidi. Nitalisogeza mbele kwa team Mbowe.
Lakini pia, nikishukuru. Umaonekana kuwa mweledi na mzoefu wa mfumo wa utawala hapa TZ.
Nikuulize jambo moja la ufahamu: kwa kuzingatia uzoefu wako wa kitaifa na kimataifa, yamkini ya kufanikiwa kwa muswada binafsi unaopelekwa bungeni ni kubwa au ndogo kiasi gani?
Lkn ulisoma mapendekezo ya rasimu ya pili Juu ya tume?Hapana. Rejea maoni ya kitaasisi yaliyowasilishwa na mwenyekiti wa NEC kwenye tume ya Warioba kuhusu Katiba Mpya. Mwenyekiti anasema hawako huru.
Sisi hatuhitaji shirikishi kama hiyo tunataka huru dhidi ya haoTume kuwa shirikishi maana yake wajumbe wake watoke makundi mbalimbali ikiwamo Asasi za kiraia, walemavu, vyama vya Siasa n.k kwa usawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatuhitaji shirikishi kama hiyo tunataka huru dhidi ya hao
Kwani hasiye na chama bado anataka kufikiriwa
Labda mjifunze kule marekani idara huru zikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili watu wa CCM hawataki kulisikia hata kidogo maana wanajua kabisa itakapopatikana tume huru na kurekebishwa sheria zinazohusiana na utangazaji wa mshindi hasa kiti cha urais wanajua hawana nafasi na chama kitafariki kama kilivyofariki KANU.
Wanachukiwa na wanalifahamu hilo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn naomba nikuulize,
Kwanini tuitake kama hisani badala ya sadaka toka kwa magufuli?