Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,447
Mama Amon, Tunapoamua kujadili hoja hii tuweke mapenzi pembeni ya vyama.
Nimependa Leo hoja polepole
" wanaotakiwa kuizungumzia tume ya uchaguzi ni umma"
Kumbuka hao kina mbowe si malaika hivyo nchi itajengwa na wenye nia safi hata wanasiasa wakiwemo je wanapotaka Leo tume ni kwa maslahi yapi wakati miaka minne imepita bila kutaka tume huru au muda umepita tangu Cdm na Nccr zilipofungua kesi ya tume?
Mabadiliko ya katiba ni muhimu kuliko kipengele hiki kidogo ambacho mnang'ang'ania kwani hakitakuwa na mashiko kwa kuwa nchi hii ya vyama vingi haina katiba ila imekopa katiba na sheria za chama kimoja.
Ukitumia mahakama kama Mtafiti yule juu, kujustify Uhuru WA Tume mnayotaka bado shida itakuwepo tu kama iliyopo kwa Mahakama na bunge vinavyoongoza kwa hisani ya rais WA nchi.
Tuna tume huru ya haki za binadamu, umewahi kuisikia ikiipinga serikali katika Yale inayokiuka has a mauji, utumiaji Nguvu kupita kiasi kwa polisi na magereza na mengi yaliyotokea.
Huu ni mfano WA nchi tuliyonayo, angalia tume na vyombo huru vya marekani vinavyofanya kazi.
Hiyo tume mnayotaka ni tume ya kisiasa ambayo haitakuwa na uhai kwa siasa na uongozi WA nchi hii.
Ebu tufikiri zaidi ya hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa Leo hoja polepole
" wanaotakiwa kuizungumzia tume ya uchaguzi ni umma"
Kumbuka hao kina mbowe si malaika hivyo nchi itajengwa na wenye nia safi hata wanasiasa wakiwemo je wanapotaka Leo tume ni kwa maslahi yapi wakati miaka minne imepita bila kutaka tume huru au muda umepita tangu Cdm na Nccr zilipofungua kesi ya tume?
Mabadiliko ya katiba ni muhimu kuliko kipengele hiki kidogo ambacho mnang'ang'ania kwani hakitakuwa na mashiko kwa kuwa nchi hii ya vyama vingi haina katiba ila imekopa katiba na sheria za chama kimoja.
Ukitumia mahakama kama Mtafiti yule juu, kujustify Uhuru WA Tume mnayotaka bado shida itakuwepo tu kama iliyopo kwa Mahakama na bunge vinavyoongoza kwa hisani ya rais WA nchi.
Tuna tume huru ya haki za binadamu, umewahi kuisikia ikiipinga serikali katika Yale inayokiuka has a mauji, utumiaji Nguvu kupita kiasi kwa polisi na magereza na mengi yaliyotokea.
Huu ni mfano WA nchi tuliyonayo, angalia tume na vyombo huru vya marekani vinavyofanya kazi.
Hiyo tume mnayotaka ni tume ya kisiasa ambayo haitakuwa na uhai kwa siasa na uongozi WA nchi hii.
Ebu tufikiri zaidi ya hapo
Sent using Jamii Forums mobile app