Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"kutenda haki" ni very subjective term, and is open to a wide variety of interpretations. Haki kwa mtu mmoja inweza kuwa kosa au jinai kwa mwingine. Kwahiyo syllogism yako ni batili sababu premise namba moja haisimami kipekee kama ukweli usiopingika.
Huyu mpumbavu ndiyo kajua sasa hivi kuwa NEC siyo huru ?
Sky Éclat . Hawa kina Membe ndiyo wale wale, wakiwa ndani ya system wanashindwa kuidhauri vizuri kiti. Kwa uhusiano aliokuwa nao na JK , alishindwa nini kumshauri waiache nchi ikiwa katika mfumo unaoeleweka na ulio fair kwa kila mwananchi ?!.
Akili zinawakaa sawa wakishakuwa nje ya mfumo, jambo ambalo halisaidii, kwani aliye na kiti anafaidika na ubovu uliopo .
Asante sana Mama Amon kwa Makala iliyo sheheni maarifa. Ungenukuu tarehe ya waraka ingenoga zaidi.
Ahsante @Mama Amon kwa bandiko lako. Kuna kitu tofauti ambacho binafsi nimekiona umefanya kimakosa. Umerejea vizuri uzuri wa waraka wa Zambia na Kenya, lakini ulipokuja kwenye Waraka huu wa Baraza la Maaskofu wa Tanzania ambao umeokosoa haukujikita kwenye kuurejea sana wenyewe bali ulijikita zaidi katika kurejea kauli za akina Mnyika, Majaliwa na Bashiru. Ingekuwa vyema kama ungeambatanisha waraka tajwa, ningetafuta muda niusome, labda contents zake zinaweza zikawa zinamsukuma msomaji kuukwepa kuujadili na hivyo kutafuta ya kujadili kutoka kwingine.
Sawa mkuu.
Kwa lengo la kulinda mjadala mkuu wa @Mama Amon itabidi nikubali kutokubaliana.
I know it's an oxymoron, how can you agree to disagree in the first place?
Hii ndiyo hoja ya Bashiru, Katibu Mkuu wa hovyo kabisa CCM. Ni hoja mfu. Maana yake, kuwadharau watanzania kwamba wanapokwenda kupiga kura wanapoteza muda wao tu. CCM itabaki madarakani si kwa mapenzi ya wapiga kura, bali kwa nguvu za dola. Ni kuwatusi watanzaniaJambo la muhimu ni wananchi kujitambua.
Hata Mbowe na Chadema wangekuwa Ikulu wangesema NEC ni tume huru na CCM wangepinga!
Kwanini haukutumia ujuzi huu kutusaidia kuwashawishi wale wengi kwenye jopo la fitina tupate katiba mpya nzuri tena ya wananchi sio ile iliyopendekezwa na hawa unao walilia watupatie tume huru ya uchaguzi?
Kwanini unaamka sasa?
Kwa vyovyote vile madai ya tume huru ya uchaguzi ni ya msingi ingawa yanaonekana kuwa na agenda za ziada nje ya agenda kuu.
Kuwatazama viongozi wa dini hakuna tofauti na kuabudu sanamu.
Dini ni makampuni ambayo yapo kwa masirahi, mtu anayeabudu sanamu huitazama sanamu akitumaini kupata msaada.Unataka kumaanisha nini kwa kutumia neno KUWATAZAMA?
Dini ni makampuni ambayo yapo kwa masirahi, mtu anayeabudu sanamu huitazama sanamu akitumaini kupata msaada.
JPM is not a practising Catholic although he uses Catholicism as a religious brand to identify himself. Deep down in his heart, deeds and convictions, he is rather an atheist!!
Aisee uchambuzi ni nadra kufanywa na mwanamke,,,,Nina wasi wasi kama ni mke, kama ndyo basi nampongezaDuh, Mama Amon Pongezi kwa uchambuzi, Ila mmmmh. Mama Amoni umeiva sana, ni Mama Amoni Kweli?