Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Sawa mkuuAsante, la mikono, nimekusikia.
P
Mimi huwa mfuatiliaji wa hicho kipindi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuAsante, la mikono, nimekusikia.
P
Naunga mkono hojaCCM wanaona upinzani kuingia ikulu ni sawa na uhaini.Suala la kushindwa uchaguzi halipo kwenye agenda zao!
Kwanini Pascal unauma na kupuliza? pls call spade a spade!
I'm afraid, the lime left is too little too late.
Kuhamasisha kususia uchaguzi ni kumsusia ngedere shamba la mahindi, utayavuna mabua!.
Akijitokeza mpiga kura mmoja tuu, akapiga kura ya ndio, mgombea huyo atakuwa ameshinda kwa asilimia 100%.
P.
Jambo la muhimu ni wananchi kujitambua.
Hata Mbowe na Chadema wangekuwa Ikulu wangesema NEC ni tume huru na CCM wangepinga!
Iwapo haitapatikana tume huru ya uchaguzi, tutatumia ushawishi wetu humu jukwaani na huko mitaani kuhakikisha wananchi wengi kadiri iwezekanavyo kutokushiriki upigaji kura. Hatuko tayari kupelekwa kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kubariki uchaguzi wa kihuni. Tutatafuta njia mbadala ya kupata viongozi, lakini hiyo njia ya kura ambayo inaonekana wazi rais aliyepo madarakani na chama chake hawaiheshimu hatuko tayari kuendelea kuitumia.
Serikali za mitaa CCM imepata ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kumetokea hatari gani?.Sio ww tu, wote wasiotaka hiyo tume huru, Hiyo utatengeneza mazingira rafiki ya kupata viongozi bila kutumia njia ya kura. Njia hiyo ni ya hatari lakini haina budi kutokea.
Tatizo usipo piga Kura watapiga wanachama wa CCM na washind watatangazwa so bado hujamkomoa mtu sababu watu wote sio CHADEMA Kuna CCM pia,[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbuka kuwa until and unless neno "polisi" linaondoka kwenye comparative equation hii hapa chini, neno "beberus" litabaki pia daima dawamu.Serikali za mitaa CCM imepata ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kumetokea hatari gani?.
Uchanguzi Mkuu ujao, wembe ule ule uliotumika kunyolea serikali za mitaa, utatumika uchaguzi Mkuu but this time victory margin will be a bit low due to Zanzibar factor. Kutatokea hatari gani wakati dola ipo?.
P
Serikali za mitaa CCM imepata ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kumetokea hatari gani?.
Uchanguzi Mkuu ujao, wembe ule ule uliotumika kunyolea serikali za mitaa, utatumika uchaguzi Mkuu but this time victory margin will be a bit low due to Zanzibar factor. Kutatokea hatari gani wakati dola ipo?.
P
Makala nzuri ila wavivu wa kusoma hawatajikita kwa kilicho andikwa.Ndio maana sishangai kuona wengi wakimjibu P na kuacha kujadili yaliyomo kwenye makala.