Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pascal i tend to see things from a very diffrent perspective sir, i think if we wont have a commision that will guarantee a free and fair election, dont be suprised a civil war emerging in this coutry, as a person who talks and is in the deep know of how people are suffering coz of this current regime, it will came a time people will say enough is enough, and when that time arrives and it surely will, there will be no turning back, pascal do you remeber what ignated the arab spring??????I'm afraid, the lime left is too little too late.
Kuhamasisha kususia uchaguzi ni kumsusia ngedere shamba la mahindi, utayavuna mabua!.
Akijitokeza mpiga kura mmoja tuu, akapiga kura ya ndio, mgombea huyo atakuwa ameshinda kwa asilimia 100%.
P.
my dear, this kind of articles are for people with very high intellect, came back again, hope you will understand just a bit if not allNimesoma paragraph moja nikaona mnanichanganya
Mambo mengi....
Nitarudi
Kura zetu haziheshimiwi.Iwapo haitapatikana tume huru ya uchaguzi, tutatumia ushawishi wetu humu jukwaani na huko mitaani kuhakikisha wananchi wengi kadiri iwezekanavyo kutokushiriki upigaji kura.
Hatuko tayari kupelekwa kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kubariki uchaguzi wa kihuni. Tutatafuta njia mbadala ya kupata viongozi, lakini hiyo njia ya kura ambayo inaonekana wazi rais aliyepo madarakani na chama chake hawaiheshimu hatuko tayari kuendelea kuitumia.
Hongera kwa uchambuzi.. Naomba kujua machache, mosi, hivi kweli KANU iliondolewa madarakani kwa waraka? Pili, naomba kujua kimantiki sababu zilizopelekea Uhuru Kenyatta akiwa KANU aonekane hafai ila akaonekana anafaa akiwa Jubilee! Tatu, je kubadilisha jina la chama kuna manufaa hata kama watu watabaki wale wale?Karibu Paschal.
Hoja hiyo Baba.
Wafahamishe wapenda hoja
Arabs are Arabs and Tanzanians are Tanzanians, we are two different people!. Hakuna civil war yoyote inaweza kutokea kwa watu waoga kama kunguru!. Watanzania ni poa sana wenye uvumilivu, ustahimilivu na utii na unyenyekevu wa hali ya juu wa level ya ukondoo!.pascal i tend to see things from a very diffrent perspective sir, i think if we wont have a commision that will guarantee a free and fair election, dont be suprised a civil war emerging in this coutry, as a person who talks and is in the deep know of how people are suffering coz of this current regime, it will came a time people will say enough is enough, and when that time arrives and it surely will, there will be no turning back, pascal do you remeber what ignated the arab spring??????
Niliposoma na nikakuta limetumika neno maaskofu walidai badala ya maaaskofu wamesema/ walisema nikajikuta napoteza interest ya kuendelea kusoma
Pole sana....
Umepoteza fursa adhimu sana kujifunza kitu kama ungesoma tu mpaka mwisho...
Hata hivyo, bado unayo fursa. Rudi tena, isome article ujifunze...
unafikiri huko Libya , Iraq, Syria, yemen kulikuwa hakuna dola?Serikali za mitaa CCM imepata ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kumetokea hatari gani?.
Uchanguzi Mkuu ujao, wembe ule ule uliotumika kunyolea serikali za mitaa, utatumika uchaguzi Mkuu but this time victory margin will be a bit low due to Zanzibar factor. Kutatokea hatari gani wakati dola ipo?.
P
Nami pia nashauri msusie uchaguzi. Ila ujiulize, mliposusia ule wa Serikali za Mitaa mlipata impact gani?Iwapo haitapatikana tume huru ya uchaguzi, tutatumia ushawishi wetu humu jukwaani na huko mitaani kuhakikisha wananchi wengi kadiri iwezekanavyo kutokushiriki upigaji kura.
Hatuko tayari kupelekwa kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kubariki uchaguzi wa kihuni. Tutatafuta njia mbadala ya kupata viongozi, lakini hiyo njia ya kura ambayo inaonekana wazi rais aliyepo madarakani na chama chake hawaiheshimu hatuko tayari kuendelea kuitumia.
Makala imesomwa vizuri sana na imeeleweka lakini wanafiki watajibiwa piaMakala nzuri ila wavivu wa kusoma hawatajikita kwa kilicho andikwa.Ndio maana sishangai kuona wengi wakimjibu P na kuacha kujadili yaliyomo kwenye makala.
No wale ni mbuzi, sisi ni kondoo!.unafikiri huko Libya , Iraq, Syria, yemen kulikuwa hakuna dola?