Maaskofu wameliona hilo, lkn kwa sheria ya kanisa lao wameshindwa kuwa wawazi moja kwa moja. Kwa hiyo kama HAWA MAASKOFU NI KWELI kama ni KWELI ni watumishi wa MUNGU aliye hai anaye ishi. Waukemee unyanganyi wa HAKI unao FANYWA na hawa CCM kwa kutumia udhaifu wa sheria zetu za uchaguzi zilizotungwa na haohao CCM.
Biblia inasema kisima kibovu hutoa maji mabovu CCM na BUNGE lao hawawezi kututungia sheria nzuri zenye matokeo ya HAKI. Ndiyo maaba hawasti kusema wanatumia dola kubaki madarakani.
Lakini kibaya zaidi wachungaji uchwara wa makanisa karibu yote wakiwemo hao maaskofu hawana uwezo na hata utashi tu wa kujitokeza hazarani kumtetea MUNGU ambaye ndiye MUNGU MWENYE HAKI.
KUNA kisa cHa Balaki na Balaam katika Biblia ndiyo maaskofu wengi leo wanatumika kulaani NA kudhulum HAKI. Bila tume huru ya uchaguzi hakuna haki itakayotendeka mbele ya CCM inayojitangaza kutumia dola lkn kibaya zaidi unyanyasaji wa wapinzani hasa chadema unaofanywa leo ni kithibitisho tosha kabisa hakutakuwa na uchaguzi ulio sawa.
Kwa walaka huo ambao umechambuliwa ni hakika hao maaskofu hawana uwezo wa kutetea HAKI bali wanajifanya kusemea pembeni au tuseme kujibaraguza ilikuwa shitua watu wengine wadai hiyo HAKI. Ili hata wakiulizwa waseme sisi tulikuwa tunasemea mambo ya ufalme wa MUNGU. Katika nchi nyingi za ukandamizaji wenye akili na waoga hukaa pembeni wakijidai kuchochea moto kupitia wengine.
Hayo maazimio au malengo yao wanatakiwa waya hubiri wakitumia lugha ya uwazi zaidi.
P.
Kasema tume iko huru bali sheria ndiyo mbovu, ubovu wa sheria haumfanyi Mtua wa HAKI, mtu MWENYE haki aitumie kudhulum haki ya wengine. Lkn kwa sababu tangu kutungwa kwake na madhumuni ya kutungwa kwake na hao watungaji wake walilenga kunyanganya HAKI, na kutoa mwanya wa kudhulum basi SHIDA ITAZIDI kuwa mbaya. Na maaskofu hawa basi tutakuta kila anayepinga ataauawa
Kama viongozi wa dini watakuwa ni qatu wasio HAKI na hakuna juhudi kuingiza kwenye utawala watu wa haki. Basi tutamalizwa.
Sent using
Jamii Forums mobile app