Mkonga100
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 660
- 495
[emoji13] [emoji13] [emoji13] nyie watu mnayawezaDawa ni kipara na mafuta ya nazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] nyie watu mnayawezaDawa ni kipara na mafuta ya nazi
Mkuu samahani lavender oil inapatikana maduka ganiNUNUA LAVENDAR OIL NA CASTOR OIL CHANGANYA UPAKE TATIZO LITAKWISHA
maduka ya dawa za.kiarabu mara nyingi wauzaji ni wapembaMkuu samahani lavender oil inapatikana maduka gani
Asantemaduka ya dawa za.kiarabu mara nyingi wauzaji ni wapemba
Mimi sio arabian queen il nna jibu la swali lako.eti kusuka huwa kunarefusha nywele? unaweza kurefusha nywele bila kusuka?
Tafuta deep conditioner nzuri ufanye deep conditioning.hii inalainisha nywele pia leave in conditioner ambayo itakua kama moisturizer..Tafuta mafuta ya grape seed oil upake kwenye ngozi ya nywele.Za Eid wana JF..
Hivi karibuni nywele zangu naona zinanipa shida kiasi,
hazikui haraka,kuchana scalp inaumaa si kama zamani afu zimekuwa kavu, kwa urefu nywele si ndefu sana pia si fupi,naweza kubana,kusuka na kustyle vyovyote nipendavyo,pia sio chache kichwani zimejaa kawaida tu,ishu ni huo ukavu,zinakatika hadi nasikia uchungu,
naomba ushauri wa mafuta yapi mazuri ya kupaka,kwa jina na bei na yanapopatikana ili nitumie nywele ziwe laini zisikatike wala kuuma..
Ninatumia dawa nywele sio natural...ila si mbaya pia nikajua mafuta mnayotumia wenye 'natural' kulainisha nywele
Nawasilisha
Mhhh unafanya nn uku na ww[emoji239]Nice
Waarabu wanatiaga madole jaribu uone kama hujananiiiiNapenda sana nije nimuoe mwarabu.
Ndoto zote huwa zikifikia patamu unaamka ww endelea kuota utakapofikia tu unataka kumfunua marinda tayari unaamkaZipi izo? Natamani nimpate yule ambae atajitoa muhanga kuishi nami bila kujali vikwanzo kutoka kwa wazazi au ndugu.
Mwarabu, msomali na Mhindi ndo ndoto zangu.
Wewe dini gani nije kukuchumbia mara moja?Hamna mila iyo ya kusihi ukweni.mm mwarabu lkn sjawah kuskia io hoja.waarabu ni kama watu wengine tu,kinachotizamwa ni dini tu
Natamani nikuone unavyofanana ukijifukia dongo mwili mzimaHahahaha
Jaribu utupe mrejesho.
Binafsi nnautummia sana huu udongo, yaani kila wiki mara moja nnafanya mud bath kwa udongo wa Bi Zainab, nnajisiriba mwili mzima siachi sehemu.
Hi hiiNdoto zote huwa zikifikia patamu unaamka ww endelea kuota utakapofikia tu unataka kumfunua marinda tayari unaamka
Hahaha haya endeleeni kuotaNdoto zote huwa zikifikia patamu unaamka ww endelea kuota utakapofikia tu unataka kumfunua marinda tayari unaamka
[emoji28]Wewe dini gani nije kukuchumbia mara moja?
Nasikiaga zile nyimbo zenu za kuzungusha viuno huwa ni majaribio ya dherehe za dudurisho[emoji28]
Alaaa kumbee.Nasikiaga zile nyimbo zenu za kuzungusha viuno huwa ni majaribio ya dherehe za dudurisho
Nipe nikajionee sitaki kusimuliwa tena