Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Baadae ukaja-onyeshwa barua yenyewe ya TRC kwamba ilipata hitilafu ukaanza poromosha matusiNina mzee anafanya kazi TRC ukitaka nakutajia jina mtafute MZEE KIPPAYA.
Yeye ndiye aliyenipa taarifa kuwa haikupata hitilafu,ulitaka niamini bila maneno matupu!??
Wewe unambiwa kurdi wana-mpaka rais kwenye eneo la iraq ya kaskazini unabisha unajiona mzima kweli
Mtume muhamad aliiweka wakati wa uhai wakehiyo mipaka ilianzishwa lini na pia nani aliianzisha ??
Unajua huu mjadala umeanzia wapi!?Wewe unambiwa kurdi wana-mpaka rais kwenye eneo la iraq ya kaskazini unabisha unajiona mzima kweli
Sibishanagi na zombi
I'm not arguing over to win or to loseJibu hoja , Lini hiyo map ilichorwa na nani aliianzisha hiyo nchi ??
Mtume muhamad alichoraKwani kuna ubishi hapo ??
si mtuambie tu hiyo map ilianza lini na nani aliichora ?
Mtume muhamad aliiweka wakati wa uhai wake
Yule jamaa nimezoeana naye na mara kibao tunazinguana katika mijadala.Baadae ukaja-onyeshwa barua yenyewe ya TRC kwamba ilipata hitilafu ukaanza poromosha matusi
I'm not arguing over to win or to lose
Sipo hapa kutafuta ushindi nipo kujifunza
So I have nothing to prove hahaha
Sorry if I offend youNilete sehemu ambazo wewe ulianza kunitukana!?
Kwahiyo wewe kunitusi sawa ila mimi kukutusi nimeshindwa hoja!??
Aiseeee
Nimewauliza wanajichekesha.kwani uliambiwa kuna ku win na ku lose ?? au kuna kutafuta ushindi ?? Hapa kuna kuelimishana , sisi tusiojua ndio tunawauliza nyinyi mlioleta ramani , mtuambie ni lini hiyo ramani ilianza na nani aliyeichora , kuna ubaya gani kuuliza ??
Niwie radhi na mimi mkuu Kwa sehemu niliyo impulsive.Sorry if I offend you
I mean no menance to anyone
So let's it up Cool π
UmeshindaNimewauliza wanajichekesha.
Ninja assasin nilimuuliza anajua ramani imetokea wapi hiyo!?
Anazunguka,nikamwambia akasome ujio wa waturuki kutoka Asia ya kati hadi ghuba ya uajemi hadi kuundwa na kuvunjika kwa Himaya ya Ottoman.
Kimyaaa ananiambia mie mjinga najifanya mjuaji.
Hatushindani mkuu.Umeshinda
UmeshindaYule jamaa nimezoeana naye na mara kibao tunazinguana katika mijadala.
Lewis254 .
Hana baya mkulu wangu, wewe unakasirika nini!?
Turudi kwenye mada jibu maswali nilokuuliza.
Palestina imekuwa taifa toka lini je kuliwahi kuwa na hilo taifa la palestina?Palestina ni taifa sio kabila.
Kurdi ni kabila,kurdi ardhi yake ni IRAN SIO UTURUKI.
KWANINI ALETE FUJO UTURUKI,SYRIA,IRAQ!?
JE Palestina Kuna sehemu ameleta fujo zaidi ya kudai ardhi aliyoikalia Israel!??
Mbona mnaongea mkiwa hamuna ujuzi wa mambo!??
Embu ongeeni mkiwa na utafiti.
Huyo Bashar Al Assad mwenyewe alishakubali Uturuki kuwashambulia kurdi kwasababu kurdi ni moja wapo ya vikundi vilivyosababisha kuvunjika Kwa Syria.
Wewe na Assad nani anajua zaidi!?
Ardhi yao Iko Iran lile ni kabila la kiajemi kwanini lilete fujo hadi Iraq na Uturuki na Syria nchi ya kiarabu?
Kama Wasyria wengine wanapenda mavita , wakurdi wanataka jitenga mnawang'ang'ania kwann ? Kama Mnataka muwe na wakurdi kwann msiache huo uzombi wenuPropaganda uchwara zitawapeleka wapi?
We mleta mada nani kakwambia wanaopigana ni Syria na Uturuki!?
Uturuki imejibu shambulizi la Kurdish PKK group, aliyeshambulia ni kurdi sio serikali ya Syria.
Na kama haujui Syria ilishatoa authority ya Uturuki kushambulia maeneo yeyote ambao Kurdi wapo,maana kurdi ni chanzo moja wapo cha kuharibu amani Syria.
Uturuki haijawahi kuacha mtu asiye na hatia akahangaika,hao wote watafikiwa na misaada inayostahili.
Hadi Sasa Uturuki ime host more than 2 millions Syrians Kusini mwake,na kuna hadi mji unaitwa LITTLE DAMASCUS ndani ya UTURUKI. Hiyo yote ni kuwasaidia wasyria wanaopitia changamoto za vita.
Hizi habari za propaganda hazitawafikisha popote, uzuri mnaongea na watu wanaojielewa
Wamasai kwao wap ?maana unajitoa akiliKurdi ni kabila miongoni mwa makabila ya kiajemi toka enzi zile za uajemi/Anatolia.
Palestina ni taifa lenye makabila linalopambania uhuru wake.
Kurdi wanapostahili kukaa ni Iran,kwanini wanaleta fujo Iraq,Syria na Uturuki!?
Kama wanataka ardhi si wangejikita Iran!?
Tena ni kabila moja linaleta fujo.
Kabila moja unaleta fujo mataifa manne mazima!??