Uturuki imesabisha ukosefu wa maji kwa watu milioni moja huko Syria. Wapenda haki wa Free Palestine mbona hampazi sauti?

Nina mzee anafanya kazi TRC ukitaka nakutajia jina mtafute MZEE KIPPAYA.
Yeye ndiye aliyenipa taarifa kuwa haikupata hitilafu,ulitaka niamini bila maneno matupu!??
Baadae ukaja-onyeshwa barua yenyewe ya TRC kwamba ilipata hitilafu ukaanza poromosha matusi
 
Wewe unambiwa kurdi wana-mpaka rais kwenye eneo la iraq ya kaskazini unabisha unajiona mzima kweli
Unajua huu mjadala umeanzia wapi!?
Unajua kuwa hiyo kurdi ni semi-autonomous state na sio nchi kamili!?
Unajua hiyo semi-autonomous Kurdish state ilitokeaje na Kwa makubaliano gani!?
Ulisoma Ile mikataba ya 1920 kipindi Ottoman ndio inaanguka iliyofikiwa kuunda taifa la Syria,Iraq,Armenia na Azerbaijan na Kurdistan!?

Naomba unijibu hapo.
 
Jibu hoja , Lini hiyo map ilichorwa na nani aliianzisha hiyo nchi ??
I'm not arguing over to win or to lose

Sipo hapa kutafuta ushindi nipo kujifunza

So I have nothing to prove hahaha
 
I'm not arguing over to win or to lose

Sipo hapa kutafuta ushindi nipo kujifunza

So I have nothing to prove hahaha

kwani uliambiwa kuna ku win na ku lose ?? au kuna kutafuta ushindi ?? Hapa kuna kuelimishana , sisi tusiojua ndio tunawauliza nyinyi mlioleta ramani , mtuambie ni lini hiyo ramani ilianza na nani aliyeichora , kuna ubaya gani kuuliza ??
 
Nilete sehemu ambazo wewe ulianza kunitukana!?
Kwahiyo wewe kunitusi sawa ila mimi kukutusi nimeshindwa hoja!??
Aiseeee
Sorry if I offend you
I mean no menance to anyone

So let's it up Cool 😎
 
kwani uliambiwa kuna ku win na ku lose ?? au kuna kutafuta ushindi ?? Hapa kuna kuelimishana , sisi tusiojua ndio tunawauliza nyinyi mlioleta ramani , mtuambie ni lini hiyo ramani ilianza na nani aliyeichora , kuna ubaya gani kuuliza ??
Nimewauliza wanajichekesha.
Ninja assasin nilimuuliza anajua ramani imetokea wapi hiyo!?
Anazunguka,nikamwambia akasome ujio wa waturuki kutoka Asia ya kati hadi ghuba ya uajemi hadi kuundwa na kuvunjika kwa Himaya ya Ottoman.
Kimyaaa ananiambia mie mjinga najifanya mjuaji.
 
Sorry if I offend you
I mean no menance to anyone

So let's it up Cool 😎
Niwie radhi na mimi mkuu Kwa sehemu niliyo impulsive.
Ila tunaelimishana hatugombaniπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™.
 
Umeshinda
 
Palestina imekuwa taifa toka lini je kuliwahi kuwa na hilo taifa la palestina?
 
Wak
Kama Wasyria wengine wanapenda mavita , wakurdi wanataka jitenga mnawang'ang'ania kwann ? Kama Mnataka muwe na wakurdi kwann msiache huo uzombi wenu
 
Wamasai kwao wap ?maana unajitoa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…