Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau umeanza kurekebika sasa. Mimi mbona ukiwa umenyooka hata sina noma kabisaWatu 34 wanaohusishwa na Mossad wameripotiwa kukamatwa katika maeneo 57 katika miji minane nchini Uturuki.
Kukamatwa kwa watu hao kumefuatia uchunguzi wa pamoja wa mashirika ya kijasusi ya Uturuki kuhusu madai ya ujasusi na shughuli zinazowezekana za utekaji nyara.
Wapi nimekuambia walikamatwa ni Waisrael?
utakuwa shoga wewe unalazimisha upumbuvu uzi wangu unajieleza wazi waliokamatwa ni watu kutoka mataifa mbalmbali walikuwa majasusi wa Israel.
Wapi nimesema waliokamatwa ni Waisrael? Nimeweke bandiko langu kiswahili na Kiingereza wewe peke yako ndiyo povu linakutoka pimbi sana wewe punguani.
Kumbe hupp? Ulipotea hapa kati?Uliwaona wa urusi akiwemo Chapman!?..acha ujuaji
Mvua zinanyesha huku nyumbani,muda wa kulima nisije mlaumu Samia UNGA kupanda beiKumbe hupp? Ulipotea hapa kati?
Hongera ,leo umekuwa mfuasi yule papaWawalete tuwatoe bikra hao
Wanaukumbi.
Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.
According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering
=====
Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.
Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari
View attachment 2862465
Majasusi wamerundikana chumba kimoja kama waamiaji haramu kutoka somalia.Wanaukumbi.
Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.
According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering
=====
Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.
Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari
View attachment 2862465
Wanatolewa bikra na singe ya kisuHongera ,leo umekuwa mfuasi yule papa
Wanaukumbi.
Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.
According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering
=====
Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.
Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari
View attachment 2862465
Sikia wewe shoga mimi JF sijaja na mtu wala usinishobekee naona unaleta mazoea mimi na mashoga mbali mbali kaa mbali na mimi usiniltee kabisa uharo wako halafu kama unataka maswala ya dini nenda jukwaa la dini mimi naitwa Ritz mambo sijui shehe wangu kwanza mimi sikufahamu.Sheikh wangu. Nimekufuata private huku kukujulisha ile thread umeweka kule kuhusu majasusi wa mayahudi ni tumeingia chaka.
Hii na mimi niliamini hivyo nimefuatilia kumbe ni sarakasi tu. Nlianza kufurahia. But ni kujichanganya kwa Serikali ya Uturuki. Maana hawajielewi. Halafu mara wanasema ni Waturuki wenyewe mara ni Wapinzani.
ila tuendelee kuwashambulia kwenye mitandao hasa sisi tulioko huku JF tusiache
Sheikh mbona unapanic hata kwa sisi wa sisi? Hasira za nini? Sikujua kama nimetuma kwenye thread. Tusigombane wenyewe kwa wenyewe. Tuendelee kama tulivyokubaliana kuwashambulia mayahudi kwenye mitandao na tuwasaidie maarabu menzetu. Nimekueleza tu hii ulikurupuka wametuingiza chaka. Ila si mbaya tuendelee kuwatia moyo wenzetu. Mbona una khasira sheikh wangu? Sisi watu wazima tusifikie huku.Sikia wewe shoga mimi JF sijaja na mtu wala usinishobekee naona unaleta mazoea mimi na mashoga mbali mbali kaa mbali na mimi usiniltee kabisa uharo wako halafu kama unataka maswala ya dini nenda jukwaa la dini mimi naitwa Ritz mambo sijui shehe wangu kwanza mimi sikufahamu.
Ujumbe umefika.
Wanaukumbi.
Dangerous
These are the first scenes of the Mossad spies who were arrested by the Turkish police, and they included various nationalities from Palestine, Jews, Turkey, and other nationalities that were not disclosed.
According to Turkish police reports, their plans were assassinations, bombings, and information gathering
=====
Haya ni matukio ya kwanza ya majasusi wa Mossad waliokamatwa na polisi wa Uturuki, na walijumuisha mataifa mbalimbali kutoka Palestina, Wayahudi, Uturuki, na mataifa mengine ambayo hayakufichuliwa.
Kulingana na ripoti za polisi wa Uturuki, mipango yao ilikuwa mauaji, milipuko ya mabomu, na kukusanya habari
View attachment 2862465
Israeli channel 12:
Netanyahu is considering closing some government agencies and transferring their funds to cover war expenses
Nii raia wa mataifa mengi walikuwa majasusi wa Israel.