Uturuki wakamata majasusi wa Israel

Uturuki wakamata majasusi wa Israel

⚡️Israeli media:

The bombing from #Lebanon brought hundreds of thousands of settlers into fortified places
 
Vipi Wayahudi mateka wao wameishawakomboa? Mwezi wa tatu sasa kasehemu kenyewe ka Gaza Kigamboni kubwa hao wayahudi hizo sifa mnazowapa za nini labda kupga mabomu watoto na wagonjwa, wamewaingiza chaka wenzao Mturuki anapiga vitanzi wote hao.
Kwa akili yako unaamini Israel hawajui mateka wao walipo?Wanawaacha wapalestina wakae nao ili waendeleze agenda yao ya kumaliza kizazi cha kigaidi na baadaye kuwahamishia Congo
 
Mchambuzi wa kijeshi wa Israel Yoav Zaitoun:

Vikosi vya jeshi vinavyopigana huko Khan Yunis vinakiri kushangazwa na kiwango cha uwezo wa Hamas mjini.
 
Mr uharo no 2🤣
Sheikh akili yako imejaa mambo makubwa mawili.
1. Ushoga
2. Uharo

Nimegundua umeathirika sana na hayo mambo. Ni sababu sijui ya makuzi na watu waliokuzunguka? Usiwe na hasira hivyo. Tuendelee kuwapigania palestine/hamas. Kesho nitakuja na uzi mwingine. Nawe usichoke sheikh wangu. Aluta continua.
 
Back
Top Bottom