Mr uharo no 2π€£
Mr uharo no 2π€£UN Habitat: Kwa namna ilivyobondwabondwa Gaza Siyo rahisi Kujengeka tena
UN Habitat umesema Gaza imebondwabondwa na kuchimbuliwachimbulia kiasi ambacho Siyo rahisi Kujengeka tena Wamesema Miundombinu ya kibinadamu kwa asilimia kubwa imevurugwa Kabisa kwa namna isiyofaa tena Source Al jazeera newswww.jamiiforums.com
Kwa akili yako unaamini Israel hawajui mateka wao walipo?Wanawaacha wapalestina wakae nao ili waendeleze agenda yao ya kumaliza kizazi cha kigaidi na baadaye kuwahamishia CongoVipi Wayahudi mateka wao wameishawakomboa? Mwezi wa tatu sasa kasehemu kenyewe ka Gaza Kigamboni kubwa hao wayahudi hizo sifa mnazowapa za nini labda kupga mabomu watoto na wagonjwa, wamewaingiza chaka wenzao Mturuki anapiga vitanzi wote hao.
Sheikh akili yako imejaa mambo makubwa mawili.Mr uharo no 2π€£
Ndio majukumu yetu Kama wanaumeNyie jamaa mnapenda sana bikra. Mbinguni mmeahidiwa bikra lakini huku duniani nako mnapambana kutoa wenzenu bikra. Au nayo ni ibada kutoa wanaume bikra?
Ndio majukumuNyie jamaa mnapenda sana bikra. Mbinguni mmeahidiwa bikra lakini huku duniani nako mnapambana kutoa wenzenu bikra. Au nayo ni ibada kutoa wanaume bikra?
Sunna πNyie jamaa mnapenda sana bikra. Mbinguni mmeahidiwa bikra lakini huku duniani nako mnapambana kutoa wenzenu bikra. Au nayo ni ibada kutoa wanaume bikra?