Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Si eti tunajifanya. It's a fact. Somalia ni taifa changa sana kwa Kenya kudeal nayo. Somalia has no intelligence tutashindwaje kudeal nayo. Mkuu wa majeshi ya Kenya amekuwa huko for two days bila wao kujua lolote. Hilo ni taifa la kubabaisha mtu? Hata ile Jeshi lenu la kuchana mbuga can have a field day in SomaliaSasa mbona unalia lia nyie c mnajifanya ndo wababe !!!
Always dont bite more than you can chew”
Mnajaribu kucontrol somalia through divide and rule
Kwa kuongeza ushawishi jubaland....but mnasahau kua somalia n nchi yenye mabwana wengi ikiwemo ethiopia ,uturuki ,USA na nyingine
Sasa pambaneni nyie s ndo israel ya africa mashariki cyo mnalialia