Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wameripoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV