UTV Acheni Unafiki. Habari zenu hazina mizania

UTV Acheni Unafiki. Habari zenu hazina mizania

UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.

Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.

Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.

Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.

Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Tosheka.
Ukirupoti wewe hapa inatosha, ridhika.
 
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.

Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.

Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.

Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.

Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Ndio maana Nape nauye waziri wa Habari ndiye waziri anaeongoza kwa kuchukiwa na wananchi.
Ameiharibu kabisa tasnia ya habari.
Ni huyu huyu enzi za mwendazake alizima bunge live kwa wananchi.
Ni mtu anajiweka mwenyewe kwenye ujuaji wa kijinga kufikiri watanzabia ni mifugo yake.
 
Ndio maana Nape nauye waziri wa Habari ndiye waziri anaeongoza kwa kuchukiwa na wananchi.
Ameiharibu kabisa tasnia ya habari.
Ni huyu huyu enzi za mwendazake alizima bunge live kwa wananchi.
Ni mtu anajiweka mwenyewe kwenye ujuaji wa kijinga kufikiri watanzabia ni mifugo yake.
Lile jamaa ni 0 brain kabisa. Linazidiwa na Makonda mbali sana.
 
Channel gani huwa inarusha habari za CHADEMA? Usiwalaumu UTV ni channel zote za bongo hazirushi habari zao
 
Katoliki hawahitaji wahuniiiii kuwaandikia habari zao kwenye jumuiya kila wakati tunasoma, bangaladeshiiiiii
 
Mimi ni mwislamu ila nachukia sana ubaguzi wa kidini wanaonyesha Azam tv na stesheni zao uchwara. Azam media ni ubabaishaji tu media imejaa ubaguzi kuanzia wafanyakazi hadi kwenye kuhudumia wateja
 
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.

Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.

Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.

Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.

Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Kwani chadema tv inarusha Habari za ccm?
 
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.

Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.

Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.

Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.

Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Siyo hao tu, inaelekea vituo vyote vililipoti ili kuwatisha watu.
 
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wameripoti kuhusiana na kukamatwa kwake.

Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.

Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.

Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.

Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
UTV ni ya muislam hawawezi kuripoti waraka wa TEC tukisema hivyo wanaelewa zaidi.
 
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wameripoti kuhusiana na kukamatwa kwake.

Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.

Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.

Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.

Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Kila mtu ashinde mechi zake
 
Hivi vyombo vya habari na wanahabari wanafiki, inabidi kuvisusia vyombo vyao na wanahabari njaa wao.

Uanahabari ni kati ya tasnia hovyo kabisa zinazoendeshwa na watu wasiojitambua wala kuuthamini utu wao.


Kuna madaktari ni wabakaji lakini hii haifanyi madaktari wote kuwa wabakaji.

Tabia ya mtu sio kiwakilishi cha fani/ kazi yake.


Tuheshimu kazi za watu na Utu wao.
 
Back
Top Bottom