Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini wametangaza habari za kukamatwa kwake?. Waache unafiki. Halafu Kama kutangaza habari za upinzani ni kosa kwanini wasifute mfumo wa vyama vingi tubaki na CCM pekee yake?.Hivi kwanini tunalalamika juu ya uhuru wa mfanyabiashara? Kwani unaamini kuna UHURU wa mwandishi dhidi ya matakwa ya mfadhiri? Yaani mwandishi aandike habari inayotishia kibarua chake? Wewe ungeweza? Umma haupewi kila habari ila ile iliyoamriwa tu.
Ni unafiki, unatangaza Lissu kakamatwa wakati mikutano yake huitangazi. Usitangaze chochote Kama hutaki.Kwani lazima?
Samiah dikteta wa hivyo.Dikteta hoyee?
Wanaboa kweli. Hawana jipya.Azam ni kama TBC 1; contents zao ni kizimkazi, kisiwandui, uchumi wa buluu, na upuuzi mwingine kama huo.
Watafungiwa.Nashaur CDM waanzishe media platforms, TV station, radio station and the likes, kutegemea vyombo vya hbr vinavyofuata maagizo mtachelewa kuwafikishia wananchi hbr na matukio!!
Serikali itawazuia kabisa.Nashaur CDM waanzishe media platforms, TV station, radio station and the likes, kutegemea vyombo vya hbr vinavyofuata maagizo mtachelewa kuwafikishia wananchi hbr na matukio!!
Nawashngaa nyinyi vijana wenye umri mdogo mnaoshinda na kukesha mimi humu kutwa kucha. Hamfahamu kutafuta pesa?We bi mdashi umri wako mkubwa lakin upo busy humu unajibizana na wajukuu
Nashangaa mtu Kama Bakhresa naye ana njaa.UTV Wamefika Bei Hao
Mnawaonea nao wako kwenye kibano.Hivi vyombo vya habari na wanahabari wanafiki, inabidi kuvisusia vyombo vyao na wanahabari njaa wao.
Uanahabari ni kati ya tasnia hovyo kabisa zinazoendeshwa na watu wasiojitambua wala kuuthamini utu wao.
Kwani lazima kila myu akiharisha mavi yatapakazwe pote?Juzi kati napenauye alimpiga mkwara milady ayo asirushe waraka wa ROMAN .... keakifupi hatuna vyombo vya habari huru tuna watu wenye njaa kali kwwny tasnia ya habari
Kama hawataki kutangaza habari za Lissu wasitangaze kabisa. Kuchagua ndio Nini, walaji ni wavyama vingi Kama walaji wao ni CCM waungane na redio uhuru.Mfanyabiashara makini anaelewa na kujali flow ya audience na mapato yake.Anafuata ni nini watazamaji wanachopenda kusikia na kuona.Hamlazimishi mtazamaji yeyote kutune tv yake kwa hiyo mlalamikaji ana uhuru wa kuchagua chanel anayoyoipenda kwa sababu remote iko mkononi mwake.
Bakhresa mlitaka warushe upuuzi upi?Nashangaa mtu Kama Bakhresa naye ana njaa.
Usiingize mambo ya Dini.Hao ni waislamu.
Hawarushi mambo ya kijinga.Kama hawataki kutangaza habari za Lissu wasitangaze kabisa. Kuchagua ndio Nini, walaji ni wavyama vingi Kama walaji wao ni CCM waungane na redio uhuru.
Nape gani huyu aliyeoneshwa bastola akajificha kwenye gari?. Acha utani.Kwani lazima kila myu akiharisha mavi yatapakazwe pote?
Ina maana Nape ana nguvu kuliko TEC?
Kuna mambo ya kijinga zaidi ya kizimkazi?Hawarushi mambo ya kijinga.