Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Nape Nnauye huyu huyu anayehaha baada ya ishara ya kuporwa jimbo?Wanamuogopa Nape na Mikwala yake.
UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Hawa ndo wanamsifia Dikteta Samia kuwa ni mtu wa demokrasia?Wala usiwalaumu , ni vyombo vyote viko under certain rules.
Waki play out of ,watafungiwa or kupigwa fine kubwa
Kwani lazima?UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Azam Media ni Kenge tuUTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Dikteta hoyee?Hawa ndo wanamsifia Dikteta Samia kuwa ni mtu wa demokrasia?
Mamba ni wewe?Azam Media ni Kenge tu
Azam ni kama TBC 1; contents zao ni kizimkazi, kisiwandui, uchumi wa buluu, na upuuzi mwingine kama huo.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
We bi mdashi umri wako mkubwa lakin upo busy humu unajibizana na wajukuuMamba ni wewe?
Nashaur CDM waanzishe media platforms, TV station, radio station and the likes, kutegemea vyombo vya hbr vinavyofuata maagizo mtachelewa kuwafikishia wananchi hbr na matukio!!UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Hao ni Kojani gangs and hata movi zao nying especially tamdhilia zao ni za kidini zaidi wapowapo tuu hata sijui wanataka nini ,nawazaga labda bosi wao ni wa kule Kimimkazi soo ametoa maelekezoUTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Hao ni waislamu.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Hata ITV nimeshangaa wametangaza kukamatwa kwa Lissu, ila mikutano yake hawakutangaza. Yani Tanzania uchawa hautaisha.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV