Tosheka.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Ndio maana Nape nauye waziri wa Habari ndiye waziri anaeongoza kwa kuchukiwa na wananchi.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Lile jamaa ni 0 brain kabisa. Linazidiwa na Makonda mbali sana.Ndio maana Nape nauye waziri wa Habari ndiye waziri anaeongoza kwa kuchukiwa na wananchi.
Ameiharibu kabisa tasnia ya habari.
Ni huyu huyu enzi za mwendazake alizima bunge live kwa wananchi.
Ni mtu anajiweka mwenyewe kwenye ujuaji wa kijinga kufikiri watanzabia ni mifugo yake.
Whatever. Ila Azam Media imejaa NgedereMamba ni wewe?
Chawa wa mama.Bakhresa mlitaka warushe upuuzi upi?
Hao ngedere watakuwa wanafanya kazi nzuri sana, Media house bora Afrika Mashariki na ya kati.Whatever. Ila Azam Media imejaa Ngedere
Kwani chadema tv inarusha Habari za ccm?UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Siyo hao tu, inaelekea vituo vyote vililipoti ili kuwatisha watu.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wamerupoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Kama huo ndio weledi basi Nape Nnauye hana akili.Siyo hao tu, inaelekea vituo vyote vililipoti ili kuwatisha watu.
UTV ni ya muislam hawawezi kuripoti waraka wa TEC tukisema hivyo wanaelewa zaidi.UTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wameripoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Moja ya mawaziri ng'ombe ni pamoja na Nape eti nae ni waziri,amebaatika kuwa mwana CCM mwenye kelele ila bahati mbaya akili ndio hakuna.Kama huo ndio weledi basi Nape Nnauye hana akili.
Hii inaonesha kuwa CCM imejaza vilaza Nape Nnauye anaongoza kwa ukilaza.Moja ya mawaziri ng'ombe ni pamoja na Nape eti nae ni waziri,amebaatika kuwa mwana CCM mwenye kelele ila bahati mbaya akili ndio hakuna.
Kila mtu ashinde mechi zakeUTV haijawahi kuripoti chochote kuhusiana na mikutano ya CHADEMA inayoendeshwa na Tundu Lissu. Leo wameripoti kuhusiana na kukamatwa kwake.
Hawa hawa UTV hawajawahi kuripoti kuhusiana na waraka pendwa wa TEC badala yake wakawa wanatafuta watu wenye maoni ya kupinga waraka ambao hawajawahi kuusoma.
Nawaomba UTV kama wameamua kuto ripoti habari za wakosoaji wa serikali ya awamu ya 6 basi wasiripoti kabisa sio wana donoa donoa.
Pia huyu Nape Nnauye inabidi ajitafakari sana tena sana.
Pongezi kwa Online media kama JamiiForums na Jambo TV
Hivi vyombo vya habari na wanahabari wanafiki, inabidi kuvisusia vyombo vyao na wanahabari njaa wao.
Uanahabari ni kati ya tasnia hovyo kabisa zinazoendeshwa na watu wasiojitambua wala kuuthamini utu wao.
Jamaa wakati wa bastola tulimpambania Sana, kumbe Mjinga tuWanamuogopa Nape na Mikwala yake.