Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU

Ushapata gono...

Nenda hospitali kijana kabla hujapata ugumba...
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Kachome penadul
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Tombeni mademu Wasafi na wasio Malaya kuna Siku Vimboro vyenu Vitaoza na Kukatika kabisa kwa kutokuwa makini.
 
Kwanza jamaa anamoyo. mwanamke mwenye gono ukisukumia dk moja tu lazma uzimie kwa harufu inayotoka. Bora tuendelee kupiga master tu. Unaweza kutema mate mwaka mzima kwa harufu ile. Wazinzi mnamoyo jamani. Unakuta jitu linasema hamna starehe nzuri kama mapenzi. Ni starehe au uchafu tu.
 
Back
Top Bottom