Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Kuna Gono na Super Gono ukipata Gono shukuru Ila ukipata Super Gono anza kupiga Sala ya Toba soon kinatafunwa choteKisonono si ndiyo Gono huo ni ugonjwa mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Gono na Super Gono ukipata Gono shukuru Ila ukipata Super Gono anza kupiga Sala ya Toba soon kinatafunwa choteKisonono si ndiyo Gono huo ni ugonjwa mmoja.
Master bedroom au master yupi?Bora tuendelee kupiga master tu.
Mada yako ingeweza kueleweka bila kukanyagia hii sekta mkuu.nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana
Tayari🤔Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Mzee wa mishangazi🤣🤣Mada yako ingeweza kueleweka bila kukanyagia hii sekta mkuu.
kaswende iyo aka gono jamaa tumia kondom acha ngono zembe afu ukapime na ngoma kabosa mana kaswende na VVU ni uji na mgonjwa.Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Kijana anazingua. Anajaribu kuchafua sekta 😅
Kaka nimepiga azuma 500g lakin naona badoKatafute Azuma 250g
Dah kweli mkuu niombeeYellow card.. take care.
Second yellow goes with a red card. Will send you out of the pitch (world) bury him 6ft down.
Wasiwasi mkubwa sio hizo dalili ulizotajwa ila kuunganishwa kwenye gridi ya taifa.Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Tembea uone mzee, kuna pisi kali hawana harufu na wana kisonono.Kwanza jamaa anamoyo. mwanamke mwenye gono ukisukumia dk moja tu lazma uzimie kwa harufu inayotoka. Bora tuendelee kupiga master tu. Unaweza kutema mate mwaka mzima kwa harufu ile. Wazinzi mnamoyo jamani. Unakuta jitu linasema hamna starehe nzuri kama mapenzi. Ni starehe au uchafu tu.
Kaswende na gonorrhea/kisonono ni magonjwa tofauti.kaswende iyo aka gono jamaa tumia kondom acha ngono zembe afu ukapime na ngoma kabosa mana kaswende na VVU ni uji na mgonjwa.