Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Una ugonjwa mkubwa wa zinaa,

Ikiwa umetumia AZUMA then baada ya siku 5 bado unatoa usaa basi hiyo sio Kaswende, Chlamydia wala Kisonono ni kubwa kuliko hayo

Husikii hata kahoma homa, mafua yasiyoisha?
Mkuu hapan nim
Una ugonjwa mkubwa wa zinaa,

Ikiwa umetumia AZUMA then baada ya siku 5 bado unatoa usaa basi hiyo sio Kaswende, Chlamydia wala Kisonono ni kubwa kuliko hayo

Husikii hata kahoma homa, mafua yasiyoisha?
Hapana mkuu dawa nimeanza kutumia alhamis ucku, ikaja ijumaha ucku na nikamaliza jjana jumamoc ucku lakin naona usaha bado unatoka au nisubili kwa muda kidogi
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Tafadhali Sana Sana Nipo Chini Ya Miguu Yako Lakini Sikuchungulii
Fika Hospital Chap Kwa Vipimo Halafu Ulambe Dawa Ili Upone Itapendeza Ukija Na Shangazi
Lengo Usisambaze Ugonjwa
 
Usirudie Tena mdogo wangu FANYA hivi...tunaitaga Staterl.....
1. Chuukia azuma vidonge vitatu vya gram 200.
2. Doxy 10
3. metronidazole 10
Na 4.cefixime gram 400 kidonge kimoja.
Matumizi
Kunywa Kwa pamoja jioni Azuma vidonge 2, metronidazole zote 10 na cefixime 1 vyote Kwa pamoja au hata nusunusu lakini hapohapo.
Kisha azuma Moja malizia asubuhi ..halafu Anza kunywa doxycycline asubuhi na mchana ...siku hata siku Tano haifiki Mzee baba.
 
Usirudie Tena mdogo wangu FANYA hivi...tunaitaga Staterl.....
1. Chuukia azuma vidonge vitatu vya gram 200.
2. Doxy 10
3. metronidazole 10
Na 4.cefixime gram 400 kidonge kimoja.
Matumizi
Kunywa Kwa pamoja jioni Azuma vidonge 2, metronidazole zote 10 na cefixime 1 vyote Kwa pamoja au hata nusunusu lakini hapohapo.
Kisha azuma Moja malizia asubuhi ..halafu Anza kunywa doxycycline asubuhi na mchana ...siku hata siku Tano haifiki Mzee baba.
Shukran kaka mkubwaaa
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Ushalizoa tayari gonjwa Gonorrhea
 
Matatizo yako yataishia hapa. Siku tatu tuu unakuwa mpya
 

Attachments

  • images (16).jpeg
    images (16).jpeg
    17.9 KB · Views: 19
Hiyo ni gono sugu, na tiba yake ni sindano, Yani unadungwa sindano mpaka inazama katikati ya uboo kwenye kile kitobo kinachotoa mkojo,,, Afu sindano huwaga ni kubwa Kama zile za kuchomea ng'ombe
Khaah 😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Ushalizoa tayari gonjwa Gonorrhea
Hilo sisi wakongwe yaani ukiliona tu ..chap pharmacy hata elfu 10 haifiki..siku Tano nyingi .... Limeshakata Kuna dozimchnganyiko hiyo ya kuitwa STARTER... noma sana..ila tunatakiwa ule ushibe pale unapopiga vidonge vya kwanza metronidazole 10,azuma 2 na cefixime gram 400. Noma sana.... Baada ya hapo mtelemko tu unamalizia asubuhi azuma 1 na unaanza dozi ya doxycycline chaap Kwa haraka....
 
Kwanza pole sana kwa yaliyokuluta, hiyo ni ajali kazini. Kuwa makini sana na baadhi ya mashangazi, wengine sio!. Umekumbwa na tatizo la gono sugu inayosababishwa na bacteria aitwae Naiseria ambaye ni sugu kwa antibiotics za kawaida, na kwa huyo shangazi, wala yeye hajijui kuwa anae, yeye ni carrier tuu!.

Tiba yake, ni sindano au kidonge cha antibiotics ya ceftriaxone.

Usirudie tena kuparamia mashangazi peku peku, maana hatari kubwa sio gono, bali ni una riski kukutana na ngoma!.

Mimi kama kaka mkubwa nakushauri, usiparamie paramie madude, tafuta mahali tulivu ujitulize, na ukikutana na mazingira ya uvumilivu umekushinda, vaa zana ndipo uingie uwanjani kwenye mechi, hivi mechi za mchangani, unapiga kavu kavu sio dili!.
Acha kabisa!.
P
P
Ushauri wa huyu kaka mkubwa jitahidi kuuzingatia, ukiona ushauri wa mzee huyu ujue amekujali sana.
 
Unakufa bado kijana mdogo kabisa , ngoma haitaki mchezo.
Hili jukwaa kila dalili ni ugonjwa ni ukimwi acheni kuua watu kwa mawazo huyu kijana aliyeleta andiko hata maisha inaonekana bado hajaanza unazani atakuwa na hali gani ukimuambia anaukimwi
 
Back
Top Bottom