To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kabisakabisa ☹️Ule mziki wa kongo haufai mtu akipata anakwenda na maji,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisakabisa ☹️Ule mziki wa kongo haufai mtu akipata anakwenda na maji,
Ukate huo uume.Utashindwa kuingia mbinguni kwa vitu vidogovidogo.Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Oyaaaa UmeyatimbaWakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Gentamycine umevurugwa na nan?Tombeni mademu Wasafi na wasio Malaya kuna Siku Vimboro vyenu Vitaoza na Kukatika kabisa kwa kutokuwa makini.
Kwa hiyo hutaki aambiwe ukwel?Hili jukwaa kila dalili ni ugonjwa ni ukimwi acheni kuua watu kwa mawazo huyu kijana aliyeleta andiko hata maisha inaonekana bado hajaanza unazani atakuwa na hali gani ukimuambia anaukimwi
Muwe mnajaribu kutoa ushauri kama daktari itapendeza zaidi ushawahi kwenda kwa daktari baada ya kumuambia dalili za ugojwa wako then akakimbia ukapime HIV?Kwa hiyo hutaki aambiwe ukwel?
Acha asemwe, na atasemwa mpaka aseme, yani hapo baadoMuwe mnajaribu kutoa ushauri kama daktari itapendeza zaidi ushawahi kwenda kwa daktari baada ya kumuambia dalili za ugojwa wako then akakimbia ukapime HIV?
Shukran mkuuKwanza pole sana kwa yaliyokuluta, hiyo ni ajali kazini. Kuwa makini sana na baadhi ya mashangazi, wengine sio!. Umekumbwa na tatizo la gono sugu inayosababishwa na bacteria aitwae Naiseria ambaye ni sugu kwa antibiotics za kawaida, na kwa huyo shangazi, wala yeye hajijui kuwa anae, yeye ni carrier tuu!.
Tiba yake, ni sindano au kidonge cha antibiotics ya ceftriaxone.
Usirudie tena kuparamia mashangazi peku peku, maana hatari kubwa sio gono, bali ni una riski kukutana na ngoma!.
Mimi kama kaka mkubwa nakushauri, usiparamie paramie madude, tafuta mahali tulivu ujitulize, na ukikutana na mazingira ya uvumilivu umekushinda, vaa zana ndipo uingie uwanjani kwenye mechi, hivi mechi za mchangani, unapiga kavu kavu sio dili!.
Acha kabisa!.
P
P
Super Gono kibokoUwii limempata??? Ila watu hawasikii jamani
Hatarii sanaaSuper Gono kiboko