Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Gono iyo na ukichelewa Mashine itakatika katikati upakiwe na kipisi.
Wahi mapema ukachome Power cef
Wahi mapema ukachome Power cef
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapige kura kwanzaWakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Kapige kura kwanzaWakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Kazi bado tunayoVp mkuu umepata Tiba ninayo changamoto kama yako
Nenda hospitaliWakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
de au gonolea.Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Mfano nikikomaa bila kwenda kupima, nikategemea kinga za mwili, nitapona?Pima kaswen
de au gonolea.
Nenda na mwenzawako mkatibiwe
Utume kukatika au kuwa tasa au kifoMfano nikikomaa bila kwenda kupima, nikategemea kinga za mwili, nitapona?
Hawezi kutibiwa bila kwenda na huyo aliyempa gonnoh.Sasa anakuja huku tumshauri nini hospital zipo kibao na wanatibu mangonjwa ya zinaa