Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Gono iyo na ukichelewa Mashine itakatika katikati upakiwe na kipisi.
Wahi mapema ukachome Power cef
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Kapige kura kwanza
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Kapige kura kwanza
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Nenda hospitali
Mara ya mwisho ku uto mba lini?
 
Hey mtoa mada ulishapata tiba? Ni dawa ipi imekutibu mana hapa najiona kabisa nna hako ka kitu afu vipi ile hali ya kupata maumivu ukiwa unakojoa inapotea kwa muda gani baada ya kunywa dawa?
 
Nenda hospital ukachome na sindano… ni gono ilo
 
Kuna manzi zingine sijui zinataka tufe wote ile nimelala nayo tu asubuh naona mboo imeanza kuuma nikajisemea ni maumivu tu ya kawaida nikavunga siku ya pili after shoo naona maumiv yanazidi nikasema ngoja niangalie kuna nini kuchek nakuta vi maji vizito kama usaha nikasema hapa tayari kimeumana for truth sijawah kupata magonjwa yanayotokana na ngono ata UTI tu sijawahi kuumwa aisee fasta nikamchek huyu manzi kwamba umewahi kupima kisonono akasema hajawahi nikamwambia uende ukapime utibiwe,, but inakela sana hawa manzi sijui wanashida gani sijui ndo wanapigwa adi na washenzi sirudii kupiga kavu WALLAH.
 
Pima kaswen
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
de au gonolea.

Nenda na mwenzawako mkatibiwe
 
Back
Top Bottom