Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mtamfanya jamaa ajiue 🤣🤣Unakufa bado kijana mdogo kabisa , ngoma haitaki mchezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtamfanya jamaa ajiue 🤣🤣Unakufa bado kijana mdogo kabisa , ngoma haitaki mchezo.
Hatari sana dadeq😂😂😂Hilo sisi wakongwe yaani ukiliona tu ..chap pharmacy hata elfu 10 haifiki..siku Tano nyingi .... Limeshakata Kuna dozimchnganyiko hiyo ya kuitwa STARTER... noma sana..ila tunatakiwa ule ushibe pale unapopiga vidonge vya kwanza metronidazole 10,azuma 2 na cefixime gram 400. Noma sana.... Baada ya hapo mtelemko tu unamalizia asubuhi azuma 1 na unaanza dozi ya doxycycline chaap Kwa haraka....
Kwakwer jamaa atakufa siku sio zake apa kila mtu tabibuMtamfanya jamaa ajiue 🤣🤣
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Kupata gono sio kupata ukimwi ... ukimwi hatupeani kama barua Kwa dispatch huu hapa sign hapa ..kwamba ukishagonga tu unao ...tungeshakuwa nao zamani sana yani..... Msimtishe kijana kikubwa apime.. atulie sio kila ukiuza mechi basi umeupata ....ingekuwa balaaa... Nani hajawahi kupigwa mbichi ama kupiga mbichi humu!?? Wote mnao!?? ....Kwakwer jamaa atakufa siku sio zake apa kila mtu tabibu
☝️ApaKupata gono sio kupata ukimwi ... ukimwi hatupeani kama barua Kwa dispatch huu hapa sign hapa ..kwamba ukishagonga tu unao ...tungeshakuwa nao zamani sana yani..... Msimtishe kijana kikubwa apime.. atulie sio kila ukiuza mechi basi umeupata ....ingekuwa balaaa... Nani hajawahi kupigwa mbichi ama kupiga mbichi humu!?? Wote mnao!?? ....
Nisamhee mkuuMada yako ingeweza kueleweka bila kukanyagia hii sekta mkuu.
Baby wangu hali ni mbaya. Starehe ya dakika 3 matokeo unaishi kwa hofu kubwa.Kitu cha GONOCOCCUS kimetulia hapo kunako dushe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ulizama chumvini sio??
Tobaaaaa!!! KhaaaaahHiyo ni gono sugu, na tiba yake ni sindano, Yani unadungwa sindano mpaka inazama katikati ya uboo kwenye kile kitobo kinachotoa mkojo,,, Afu sindano huwaga ni kubwa Kama zile za kuchomea ng'ombe
MKuu umeongea kitu cha msingi sana nyinyi ndio watu mnaostahili kubaki hapa jfKupata gono sio kupata ukimwi ... ukimwi hatupeani kama barua Kwa dispatch huu hapa sign hapa ..kwamba ukishagonga tu unao ...tungeshakuwa nao zamani sana yani..... Msimtishe kijana kikubwa apime.. atulie sio kila ukiuza mechi basi umeupata ....ingekuwa balaaa... Nani hajawahi kupigwa mbichi ama kupiga mbichi humu!?? Wote mnao!?? ....
Cipro ndiyo dawa gani tfnatumia cipro azuma hata haina msaada wowot na hvyo vnavyokusumbua
Gono au kaswendeWakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Kitu na boksi hiyoWakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU