Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
 

Attachments

  • Screenshot_20240621-161324~2.jpg
    Screenshot_20240621-161324~2.jpg
    32.7 KB · Views: 8
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Hiyo itakutoa roho wewe,achana na hiyo kitu,huwezi kushindana na hizo kitu.Ushauri wa bura nenda hospitali na umwambie dokta ujinga uliofanya atakusaidia,hata kama akikukon'gota konzi la kichwa kubali kwani unayumba🤭
 
Kwanza pole sana kwa yaliyokuluta, hiyo ni ajali kazini. Kuwa makini sana na baadhi ya mashangazi, wengine sio!. Umekumbwa na tatizo la gono sugu inayosababishwa na bacteria aitwae Naiseria ambaye ni sugu kwa antibiotics za kawaida, na kwa huyo shangazi, wala yeye hajijui kuwa anae, yeye ni carrier tuu!.

Tiba yake, ni sindano au kidonge cha antibiotics ya ceftriaxone.

Usirudie tena kuparamia mashangazi peku peku, maana hatari kubwa sio gono, bali ni una riski kukutana na ngoma!.

Mimi kama kaka mkubwa nakushauri, usiparamie paramie madude, tafuta mahali tulivu ujitulize, na ukikutana na mazingira ya uvumilivu umekushinda, vaa zana ndipo uingie uwanjani kwenye mechi, hivi mechi za mchangani, unapiga kavu kavu sio dili!.
Acha kabisa!.
P
P
Mkwe nakusalimia mkwe wangu...!
 
Usiwaze kijana ,Hilo Jambo dogo mno,meza azuma 2 kila siku kwa siku tatu,na dox 1*2 kwa siku 10 ,Kama Ni trichomoniasis ,unganisha na tinidazole 4*1 kwa siku tatu njoo baada ya muda utupe mrejesho
Wewe jamaa usije ukauwa,hata kama ni dokta huenda ungemshauri aje hospitali🤭
 
Nenda hospital ukapate tiba haraka, ukichelewa tu uume utakatika.

Tena ukienda hospital hakikisha na huo mshangazi wako unenda nao na wenyewe ukatibiwe ili asiendelee kuambukiza wengine.

Wanawake wengi wanatembea na magonjwa ya zinaa pasipo kujitambua.

Zaidi ya yote acha zinaa. Zinaa ni mbaya sana siyo tu kwa afya yako bali ni mbaya kwa roho yako pia. Dini zote duniani zinakemea zinaa. Acha zinaa, tafuta mke, oa tulia naye.
 

Bonyeza hiyo link ujisajili mwanachama mpya.
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Huenda ikawa ni gono.

Wahi hospitali.
 
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.

Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.

Nini cha kufanya niendelee na dozi au?

MSAADA WAKUU
Piga hizo azuma siku 5. Hakikisha unakula kikamilifu na kunywa maji ya kutosha.
 
Back
Top Bottom