Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kwanini hujatumia mpira? Wahi hospital
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nimetoka ibadani nakutana na mada hii😁nimeamini ufalme utatekwa na wachache
Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
na bado watu hawaiogopi looh🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Yah hiyo ndio tiba ya kutibu Gono sugu...
Hiyo itakutoa roho wewe,achana na hiyo kitu,huwezi kushindana na hizo kitu.Ushauri wa bura nenda hospitali na umwambie dokta ujinga uliofanya atakusaidia,hata kama akikukon'gota konzi la kichwa kubali kwani unayumba🤭Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Mkwe nakusalimia mkwe wangu...!Kwanza pole sana kwa yaliyokuluta, hiyo ni ajali kazini. Kuwa makini sana na baadhi ya mashangazi, wengine sio!. Umekumbwa na tatizo la gono sugu inayosababishwa na bacteria aitwae Naiseria ambaye ni sugu kwa antibiotics za kawaida, na kwa huyo shangazi, wala yeye hajijui kuwa anae, yeye ni carrier tuu!.
Tiba yake, ni sindano au kidonge cha antibiotics ya ceftriaxone.
Usirudie tena kuparamia mashangazi peku peku, maana hatari kubwa sio gono, bali ni una riski kukutana na ngoma!.
Mimi kama kaka mkubwa nakushauri, usiparamie paramie madude, tafuta mahali tulivu ujitulize, na ukikutana na mazingira ya uvumilivu umekushinda, vaa zana ndipo uingie uwanjani kwenye mechi, hivi mechi za mchangani, unapiga kavu kavu sio dili!.
Acha kabisa!.
P
P
Wewe jamaa usije ukauwa,hata kama ni dokta huenda ungemshauri aje hospitali🤭Usiwaze kijana ,Hilo Jambo dogo mno,meza azuma 2 kila siku kwa siku tatu,na dox 1*2 kwa siku 10 ,Kama Ni trichomoniasis ,unganisha na tinidazole 4*1 kwa siku tatu njoo baada ya muda utupe mrejesho
Duh....!, kukutana na wakwe humu...!, ... naomba unikumbushe mkwe upande upi maana...!Mkwe nakusalimia mkwe wangu...!
Wewe bwana itabidi nikupigie kabisa simu...ila mmoja wa mabinti zako nimeona😂😂😂Duh....!, kukutana na wakwe humu...!, ... naomba unikumbushe mkwe upande upi maana...!
P
Huenda ikawa ni gono.Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Piga hizo azuma siku 5. Hakikisha unakula kikamilifu na kunywa maji ya kutosha.Wakuu naombeni msaada, nilipiga show ya ovyo na mshangazi mmoja bila dhana matokeo yake ni hayo nikienda haja ndogo napata maumivu.
Na pia uume wangu unatoa usaha rangi ya njano kila muda. Nimetumia AZUMA vidonge vitatu lakini bado sijaona dalili ya kupona NA HIZO DAWA NIMEMALIZA JANA.
Nini cha kufanya niendelee na dozi au?
MSAADA WAKUU
Gono haiangalii usafi , inoculation tu tayari kitu na box. Cha muhimu ni uaminifu na kutumia zanaTombeni mademu Wasafi na wasio Malaya kuna Siku Vimboro vyenu Vitaoza na Kukatika kabisa kwa kutokuwa makini.
Malukanga ni kitu gani mkuu?!Hahahahaa, tayari hiyo. Wazee wa kuloweka. Gono hilo, na kama uyo mtu anamalukanga ujue ushaukwaa. Mtu akiwa na ngoma + gono, jiandae kupata chai.
Ule mziki wa kongo haufai mtu akipata anakwenda na maji,Limefika tunduma toka congo...mama€🙉