Uume wangu kutoa usaha na maumivu wakati wa kukojoa

Hatari sana dadeq😂😂😂
 

Rudi kwa shangazi akupe dawa
 
Kwakwer jamaa atakufa siku sio zake apa kila mtu tabibu
Kupata gono sio kupata ukimwi ... ukimwi hatupeani kama barua Kwa dispatch huu hapa sign hapa ..kwamba ukishagonga tu unao ...tungeshakuwa nao zamani sana yani..... Msimtishe kijana kikubwa apime.. atulie sio kila ukiuza mechi basi umeupata ....ingekuwa balaaa... Nani hajawahi kupigwa mbichi ama kupiga mbichi humu!?? Wote mnao!?? ....
 
☝️Apa
 
Kaka nenda hospital kachek, Kisha waambie wakupe dawa hizi (kama Sabababu ni kulala na lishangaz hilo)
1. Diuretics
2. Antibiotic zenye penicillin au sulfa ndani yake
3. Anti-inflammatory kama aspirin, ibuprofen na kadhalika
Lakini husababishwa na fangas pia, dawa akupe anti fungal
 
tumia cipro azuma hata haina msaada wowot na hvyo vnavyokusumbua
 
MKuu umeongea kitu cha msingi sana nyinyi ndio watu mnaostahili kubaki hapa jf
 
Anza kuimba parapanda inalia parapandaaah.Na uendw hospitali
 
Gono au kaswende
 
Kitu na boksi hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…