Uungwana: BAVICHA yatoa Shukrani kwa wote waliochangia pesa za kulipa faini ya Yericko Nyerere Mahakama ya Kisutu

Hivi baada ya hukumu kutoka,unapewa mda gani kuweza kupata huyo hela?
Inategemea na hujuma unayopangiwa kufanyiwa , wakina Mbowe walipewa masaa mengi ila Akaunti zao za benki zilifungwa kwa maelekezo ya serikali , yericko alipewa masaa matatu tu , lakini wadau wamechanga zaidi ya mil 6 ndani ya dk 60 tu !
 
Inategemea na hujuma unayopangiwa kufanyiwa , wakina Mbowe walipewa masaa mengi ila Akaunti zao za benki zilifungwa kwa maelekezo ya serikali , yericko alipewa masaa matatu tu , lakini wadau wamechanga zaidi ya mil 6 ndani ya dk 60 tu !
Aiseee!!!!!
 
Kutokana na mataga kuonea cdm nashauri chama kianzishe mfuko maalumu wa kuchangia uwe endelevu. Watu watupie humo vijisenti kidogo kidogo ili ikifika kamanda yeyote kahukumiwa iwe ni kuchota tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…