Uungwana: BAVICHA yatoa Shukrani kwa wote waliochangia pesa za kulipa faini ya Yericko Nyerere Mahakama ya Kisutu

Cdm haihitaji kuaminiwa na mbululaz kama wewe
 
Haya ndio mwisho wa akili zenu sio ? Matusi , kutukana mpaka Marehemu , sidhani kama kuna mtapewa Nchi nyinyi kwa akili zenu zilipofikia 🥸
Wewe ni marehemu kwani? Kukuita mbulula sijakosea, maana kama huwezi kuamini ofis iliyopangishwa hujui chochote kuhusu ofisi na majengo. Mtu kama wewe tukija kukuambia kuhusu mambo makubwa ya inchi huwezi kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…