Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Leo umelipwa posho zote mpk na ya bando
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni swali au taarifa? Kama ni taarifa fungukaUmesikia mtaala mpya wa somo la historia alilopigia upatu bwana yule ili asomwe vidato vyote kuanzia chekechea limefutwa?
Hao matapeli wa ufipa sidhani kama watafanya hivyo.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Hahahaaaa...... !Hao matapeli wa ufipa sidhani kama watafanya hivyo.
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.
Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
Wao kama individual wanawajibu wakutoa akaunt ya chama zirejeshwe humo.zilitokana na wanachama mmojammojaCHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.
Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
Kawaida ndoo 5 cha mchanga zinataka cement kiasi gani?Wataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Magufuli na mahakama wapi na wapi bwashee?Na Magufuli arudishe ngapi, wapi na vipi kwa kutusababishia sisi walipa kodi hizo costs kwa maamuzi ambayo leo yanabadilishwa ?
Na huyu anayabadilisha leo, kesho yatabadilishwa ? Hivi ni lini wananchi tutaacha kuchezewa ? Hatuhitaji watu tunahitaji taasisi na wananchi wenye uelewa; hilo la mwisho ingawa litachukua muda ila inabidi tuanze kwa faida ya vizazi vijavyo...
Duuuh!Wataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Kilo 10Kawaida ndoo 5 cha mchanga zinataka cement kiasi gani?
Mahakama kama ni ile ile ni nini kimetokea tangia wakati huo na sasa ?Magufuli na mahakama wapi na wapi bwashee?
Mahakama kuu na mahakama ya Rufaa ni vitu viwili tofauti bwashee!Mahakama hama ni ile ile ni nini kimetokea tangia wakati huo na sasa ?
Ni kwamba alifuta kabisa Separation of Powers, vyote vikawa kama kitu kimoja (yeye); Alishasikika akishangaa Serikali inashindwaje Kesi !!!!
Na mfuko mmoja una kilo 50, halafu iwe miwili.Kilo 10
Hahahaaaa.......!Na mfuko mmoja una kilo 50, halafu iwe miwili.
Noma sana
Alimpa Nani?Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
NakaziaWataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Baada ya machungu ya kukosa uteuzi kwenye UDC Jo umerudi na post zako za uchuro dhidi ya CHADEMA!Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Nusu mfuko!Kawaida ndoo 5 cha mchanga zinataka cement kiasi gani?