Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Umesikia mtaala mpya wa somo la historia alilopigia upatu bwana yule ili asomwe vidato vyote kuanzia chekechea limefutwa?
Hili ni swali au taarifa? Kama ni taarifa funguka
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Hao matapeli wa ufipa sidhani kama watafanya hivyo.
 
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.

Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.

Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
Wao kama individual wanawajibu wakutoa akaunt ya chama zirejeshwe humo.zilitokana na wanachama mmojammoja
 
Na Magufuli arudishe ngapi, wapi na vipi kwa kutusababishia sisi walipa kodi hizo costs kwa maamuzi ambayo leo yanabadilishwa ?


Na huyu anayabadilisha leo, kesho yatabadilishwa ? Hivi ni lini wananchi tutaacha kuchezewa ? Hatuhitaji watu tunahitaji taasisi na wananchi wenye uelewa; hilo la mwisho ingawa litachukua muda ila inabidi tuanze kwa faida ya vizazi vijavyo...
 
Wataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Kawaida ndoo 5 cha mchanga zinataka cement kiasi gani?
 
Na Magufuli arudishe ngapi, wapi na vipi kwa kutusababishia sisi walipa kodi hizo costs kwa maamuzi ambayo leo yanabadilishwa ?


Na huyu anayabadilisha leo, kesho yatabadilishwa ? Hivi ni lini wananchi tutaacha kuchezewa ? Hatuhitaji watu tunahitaji taasisi na wananchi wenye uelewa; hilo la mwisho ingawa litachukua muda ila inabidi tuanze kwa faida ya vizazi vijavyo...
Magufuli na mahakama wapi na wapi bwashee?
 
Wataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Duuuh!
 
Magufuli na mahakama wapi na wapi bwashee?
Mahakama kama ni ile ile ni nini kimetokea tangia wakati huo na sasa ?

Ni kwamba alifuta kabisa Separation of Powers, vyote vikawa kama kitu kimoja (yeye); Alishasikika akishangaa Serikali inashindwaje Kesi !!!!
 
Mahakama hama ni ile ile ni nini kimetokea tangia wakati huo na sasa ?

Ni kwamba alifuta kabisa Separation of Powers, vyote vikawa kama kitu kimoja (yeye); Alishasikika akishangaa Serikali inashindwaje Kesi !!!!
Mahakama kuu na mahakama ya Rufaa ni vitu viwili tofauti bwashee!
 
Wafanye wawezavyo waanze ujenzi wa ofisi ya kudumu ya CDM....350mil kiwanja na structure inaanza ....
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Alimpa Nani?
 
Wataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Nakazia
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Baada ya machungu ya kukosa uteuzi kwenye UDC Jo umerudi na post zako za uchuro dhidi ya CHADEMA!
Hivi hukomi tuu?
Hivi hujifunzi tuu?
 
Kiungwana Msigwa anatakiwa kurufisha ile pesa. Ni kama umechangiwa hela ya arusi halafu ukahairisha.
 
Back
Top Bottom