Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

Unaambiwa msibani ndio sehemu pekee ya mtu kuonekana alivyo.

Mtu anajiuliza avae nguo gani na anaenda na Saluni kabisa.
 
Hayo mavazi yalihuzunisha kweli au yalipandisha mzuka wa ngono? Me ntasikitika labda nikiskia watu wamefariki kwenye ajali
 
Ahaa wachina wao wanagiza wacheza uchi kuburudisha wafiwa. Kwa maudhulio msibani waombolezaji nyomiii mi napenda wanatusahausha kama tunakufa nakuondoa sononeko moyoni
 
Wenzenu wanawapunguzia maumivu na masikitiko ya kupoteza kipenzi chenu, bado mnalalamika?! Kweli binadamu haridhiki aise..🙁😡😕😎
 
Kama upo kwenye Social.media na hamkumjua Kizzo bas tena..in short alikuwa activist, entrepreneur na mwanaharakati wa mabadiliko kwa vijana..n.k
Mnazingua mjuwe nyie maana kizzo insta alikuwa na followers 2K elfu mbili tu.
 
Usiseme watu wa Dar sema watu wa mikoani mliohamia dar
 
Tatizo lingine lipo kwa sisi tuendao msibani au eneo lisilohusiana na ngono tukiwa na mawazo ya ngono. Hii ni hatari sana ipo siku tutabakana hadharani wallah
 
Dunia inakwenda kulingana na wakati wake. Siku hizi kuvaa sare kwa wafiwa, ao kukodi watu kuja kulia msibani nijambo la kawaida sana.
 
Wazungu msiwahusishe kwa uvaaji. Wazungu wanajiheshimu sana uvaaji kwenye misiba si wanawake si wanaume. Kwa kweli wanavaa vizuri zaidi waendapo makanisani.
 
Hata huku mjini wanaofanya mambo ya ajabu wengi wametoka mikoani sie wazawa hatuna tabu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…