red bandama
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 483
- 574
- Thread starter
-
- #61
Kuonyesha maungo msibani Ni sawaMkuu mbona unakuwa mchoyo wa fadhila?? Si ungesifia tu kuliko kuponda? Yaani tuseme kweli kama we ulienda msibani kwa kuguswa na msiba ulipata wapi mda wa kukagua mpka chupi za wafiwa!! Na nywele za wanaume wenzio? Okay iko hivi hatuwezi kuishi na kutenda kama babu zetu! Kumbuka wao walivaa vidude tu vya kufunika mahali flani hivi kwingine kote ilikuwa free! Walau sisi kidogo tunafichaficha
Kuja na nguo inayoonesha chupi msibani Ni Sawa?Ungezungumzia tu uvaaji mbaya kwenye msiba bila kumtaja dada wa marehemu. Kumtaja kwako inaweza kuleta dhana kuwa lengo lako lilikuwa kumshambulia tu huyo dada ila umetumia mgongo wa mavazi.
Kipindi anachopitia sasa hivi si kizuri kuanza kumshambulia kuhusu mavazi kwenye msiba wa mpendwa kaka yake.
We ulikuwepo?Kumbe walikuwepo walovaa hivyo? Niliowaona wengi walikua wamevaa suruali. Sema ujumbe tumeupata
Hapana tulikwazika sanaEti wanaume wanageuzia macho kwao 'kimasikitiko', hakuna masikitiko hapo mkuu waligeuzia macho kwao kwa matamanio tu hao
Hawa watoto wa daresalama wanaharibu nchiTatizo lingine lipo kwa sisi tuendao msibani au eneo lisilohusiana na ngono tukiwa na mawazo ya ngono. Hii ni hatari sana ipo siku tutabakana hadharani wallah
Hahahaaa mkuu ukikwazika inatakiwa usiangalie lakini mpaka ukapiga chabo na ukaona pichu ya rangi flani! Au ndio macho hayana pazia nini?Hapana tulikwazika sana
Unamaanisha mkuu tuanze kuvaa nguo za asili yetu walizokuwa wanavaa mababu zetu ama?Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!
Nilikuwepo ndio.We ulikuwepo?
Mkuu ungetupia na kapicha japo kamoja ingependeza zaidiJana tulikuwa tunamzika brother Kizzo huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli katika umri wake alioishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa.
Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Milya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza Rafiki. Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.
Kero iliyojitokeza ni wanawake hasa waliotokea Dar es Salaam waliovaa kiaibu sana. Waligeuza msiba kuwa sehemu ya kutangaza viungo vyao.
Cha kushangaza hata Carol Ndosi ambaye ni mfiwa alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi chupi iliyokuwepo ndani. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwakwe kwa masikitiko.
Wadada wengi kwenye msiba wa jana walivaa nguo zinazoonesha mapaja na hii iliwahuzunisha sana Wazee wa Kimeru.
Wanawake wa Dar es Salaam msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni za mavazi.
Mlikuwa mmekaa karibu na Gardiner habash muda wa kuzika?Nilikuwepo ndio.
Huyo uliemtaja sio mjinga au limbukeni kiasi hicho. Kuna element of exaggeration plus personal vendetta.Kuja na nguo inayoonesha chupi msibani Ni Sawa?
Wacheni kujitia upofu
Yaani unavyoongea humu ni wazi ulikuwa msibani kutazama na kufuatilia wengine.Mlikuwa mmekaa karibu na Gardiner habash muda wa kuzika?
Kuna kundi la wadada wa daresalama walikuwa wanapepesa sana macho
Biashara na matangazo popote.Wengine humuendi beach au klabu mtaonaje bidhaa?Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!
Kaaazi kweli kweli walahiBiashara na matangazo popote.Wengine humuendi beach au klabu mtaonaje bidhaa?
trueKuja na nguo inayoonesha chupi msibani Ni Sawa?
Wacheni kujitia upofu
Macho hayana paziaYaani unavyoongea humu ni wazi ulikuwa msibani kutazama na kufuatilia wengine.
Biashara ni MatngazoJana tulikuwa tunamzika brother Kizzo huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli katika umri wake alioishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa.
Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Milya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza Rafiki. Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.
Kero iliyojitokeza ni wanawake hasa waliotokea Dar es Salaam waliovaa kiaibu sana. Waligeuza msiba kuwa sehemu ya kutangaza viungo vyao.
Cha kushangaza hata Carol Ndosi ambaye ni mfiwa alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi chupi iliyokuwepo ndani. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwakwe kwa masikitiko.
Wadada wengi kwenye msiba wa jana walivaa nguo zinazoonesha mapaja na hii iliwahuzunisha sana Wazee wa Kimeru.
Wanawake wa Dar es Salaam msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni za mavazi.