Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

Nakusaka kitandan sikuoni kumbe upo huku wacharurana na watu,
Haya tangulia mwenyewe.
ngoja kwanza ndani siendi nimekuta kule umecomment mpenzi wako Nancy sasa ndio michezo gani ? usije ukanigeuza ooh mama patachimbika leo
 
ngoja kwanza ndani siendi nimekuta kule umecomment mpenzi wako Nancy sasa ndio michezo gani ? usije ukanigeuza ooh mama patachimbika leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana, una haki ya kuogopa, hahahaha
 
Siku hiz hawavai kabisaa baadhi yao yani tako tunaliona Live
dea114d2bef75350e5e8ae79f4db4304.jpg
Duh!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana, una haki ya kuogopa, hahahaha
hahahaa we acha nilisoma stori humu moja humu ndani hadi leo naogopa ebu nipe kiss la asubuh asubuh
 
Kumbe akiwa na mumewe ila akitoka shurti ajisitiri
Hapana kujisitiri sio kwa kuvaa chupi bali kwa kuvaa mavazi yenye stara, mfano gauni refu na kufunika kichwa ni mifano halisi.

Kuvaa chupi kuna madhara kuliko faida.
 
Madada wa humu sikuizi kuna utata kumbe wengi wao ni madume kwa ID za kike

Ukitaka pia kuamini zaidi hata picha zao wanaweka watu wa nje ili kuwapa promo na hilo siyo tu kwa wanaume hata wanawake halisi nao hawajiamini uhalisia wao,kisa wengine wanasema ni kuhofia kujulikana.ila tabia ya mtu haifichiki mkuu.
 
mitumba mipya?
Anajitahidi kutunga story lakini relevancy inafeli pale anapojisahau kuwa mtumba sio mpya......ukiwa na poor thinking ndio matokeo yake haya....
Badala atulize kichwa Kama miss c:c miss Chagga
 
Mbona mnadharau sana mitumba jamani?
Chupi ni chupi tuu tena za mitamba ndio nzuri sababu zinafunika tako zima
 
Back
Top Bottom