Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"


Hizi info umezitoa wapi?
 
Yaani iran awasaliti palestine kwa dola billion 6 hv iran hzo story zenu za kujifasiji baada iron dome kufail kuzuia local missiles zinazotengenezwa uwani
 
Mambo yale yale ya September 11 ya kujipiga na kutangaza ugaidi Duniani!!
 
Hv mungu wa wa israel ndio mungu huyo huyo mnaoabudu wakristo?maana km mungu mwenyewe ndio huyo yesu halafu wamempga vile mpk kabaki na boxer sidhani km bado ana upendo nao hao wayahudi
 
Hiyo alirudishiwa sio alipewa! Hiyo fedha ni yake Iran
 
Utakuwa Msabato wewe
 
Binafsi naona Mossad yupo nyuma ya hili. Wameruhusu Hamas wajitanue na wametumia social media kutafuta huruma. Kuna mtu lazima wanamtarget na retaliation itakua sio ya kitoto.
wayahudi ni tofauti na ndugu zake mood. huwa hawawezi kusacrifice raia wao kiasi hicho, kwamba wakubali raia wao wafe na kujeruhiwa namna hii kwasababu wanataka kuanzisha vita? never.
 
Unaambiwa kabla ya kuanza mashabulizi mapema lei asubuhi, defence system za Israel zilijam ndipo mvua ya roketi zikaanza kurundima katika nchi ya Israel.
 
Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.

Hapo katika ujio wa anti christ ,ukipata muda njoo na uzi wake mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…