tunafuraha kwamba, mateka wa kiyahudi waliokuwa wameshikiliwa na hamas wameshaachiwa, negotiation imefanyika kati ya israel na hamas, sasa wataanza kupigwa bila huruma.
Ondoa mkoa weka USA, UK, FRACE or better say NATOMikoa hiyo,ni adui wa Iran,North Korea,...
sasa ukiona hadi wameuwa watu wao, jua wasio watu wao watawakaanga kabisa. it is unfortunate kwamba tutegemee ubaya mkubwa sana dhidi ya hamas soon.In case kama ulipitwa
Israeli warplanes target and kill some of their own Israeli captured soldiers as they are transported into Gaza.
Jionee video [emoji116]
View: https://twitter.com/itranslate123/status/1710607656610619619?t=qyTXWml0HxH_xq8R-Qqqjw&s=19
Kumbe mungu ni wa Israel sisi waafrika ni shobo tuwaliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Wanatafuta sare zao mtaani mkuu7000 rockets...nawaza hizi zingetumwa kwetu tungefanyaje?..
Pia jeshi letu na sisi lijipange tuanze kuiba idea kama hizi za hamas.
Tunatakiwa kujipanga aisee... technology ndio kila kitu sa hvWanatafuta sare zao mtaani mkuu
Hapa kuna lakutafakari,waliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Unamaanisha nini? Hivi mnaelewa maana ya rockets 7000? kwenda kuipiga Israeli? yenye ukubwa gani?7000 rockets...nawaza hizi zingetumwa kwetu tungefanyaje?..
Pia jeshi letu na sisi lijipange tuanze kuiba idea kama hizi za hamas.
Marekani ni mkoa we IsraelIsrael ni mkoa wa marekani na ni partner wa UK,
NOTHING MORE
Go back to schoolMarekani ni mkoa we Israel
Marekani haipigani vyote yoyote kwa sasa.Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.
Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.
Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.
@Mathanzua mdogoConspiracy theory zimeharibu ubongo wako kwa kiasi kikubwa
Palestine ni mkoa wa iran na ni partner wa abdul's,Israel ni mkoa wa marekani na ni partner wa UK,
NOTHING MORE
Mungu wa deen ya Wayahudi Amewaagiza Wayaishi haya ili wafaulu!Ili ukisikia "ya'allah",ujue limetua jichoni mwa mtu.
Wehu wajichanganye mji upondwe uwe powder. Hawa Wafilisti hawajawahi kushinda tangu enzi za kina Goliath.Labda Israel imekubali ili imalize wehu
Ni swala la muda tu!Ingekuwa Israel inanguvu kama inavyochukuliwa na Watu wengi hasa Wakristo wa Afrika basi leo hii maeneo kama Lebanon, Gaza, Jordan, n.k yangekuwa chini ya utawala wa Kizayuni.
Mkuu kinachoendela sasa hivi ukanda wa Gaza unaenda kufanywa magofu!Vita ni timing hakuna jipya. waendelee mpaka mwisho wasiamuliwe. Tuna taka ama Hamasi wawamalize waisrael au Israel iwamalize Palestine. Hatutaki masalia, waachwe wachapane mpaka mwisho.