UVCCM wagonjwa hawahitaji picha ya Rais, acheni hizi propaganda

Uvccm na ccm kumejaa vichaa 99%
 
Pengine hiyo picha ina nguvu ya uponyaji kwa kila anayeiangalia huwezi jua
 
Unampa mgonjwa sabuni ya 500 halafu unampiga mapicha, mabango na matangazo kibao. Naona kuna watu wanataka kuanza awamu nyingine ya kuabudu bnadam
 
Hapa nakuunga mkono,picha sasa ya nini? Appreciation sio lazima ifikie kuwa ujinga.
 
Uchawa pro max
 
Tang lini maccm yakawa na akili!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…