UVCCM wagonjwa hawahitaji picha ya Rais, acheni hizi propaganda

UVCCM wagonjwa hawahitaji picha ya Rais, acheni hizi propaganda

Nchi ngumu sana hii... Kwamba picha ya rais ndo inafanyaje Kwa wagonjwa sasa?
1643727411182.png
 
UVCCM na BAVICHA ni aibu za taifa. Kuna mwaka UVCCM walitaka kufanya maandamano ya kupongeza hotuba ya Rais Kikwete. Wakati huohuo kipindi Kikwete anakaribia kumaliza awamu yake aliwatimua kwenye event ambayo ilikuwa na ulazima wao kuwepo. Yaani Kikwete alishtuka majitu haya hapa na mavazi ya kijani kwenye shughuli isiyohitaji hayo mambo, akawaambia waondoke. Matukio ya UVCCM yenye kutia hasira ni mengi. BAVICHA wao tatizo lao ni kukabidhi akili zao zote kwa Sultani Mbowe. Walichobaki nacho ni matusi tu.
Lwahiyo wewe uvccm umebakia na akili za kujikomba hadi unatembea na picha ya mwenyekiti wako hadi mahospitalini na kwa waganga wa kienyeji?
 
Vijana tufanye kazi tuache kujipendekeza kwa viongozi wa nchi.

Tujipendekeze kwa Mungu zaidi maana yeye ndiye anayetoa hayo mamlaka kwa hao tunaopambana kujipendekeza kwao.
Pumbavu kabisa we mbona ulimlamba jiwe matako
 
Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.

Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.

Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?

Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?

Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.

Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?

Battle for the soul of CCM. Hii ni vita ya “kiroho”.

Naona lile tishio la “serikali ya mpito “ lilimstua na kumzindua mama kikamilifu akaamua kujiweka kwenye “full campaign mode” hadi 2025. Sasa ni mwendo wa “kubandua” picha ya legasi na kubandika yake vichwani mwa Watanzania wanaoghilibika kirahisi na taswira, mbwembwe na propaganda endelevu.
 
Kwa kwel,yule pimbi aendelee kupigwa moto huko jehanamu maana katuachia mambo ya hovyo sana,watu wanajipendekeza kupita kiasi

Kuna fala mmoja mwenyekit wa ccm sjui mkoa gani ambae video yake ilisambaa akiwa kwenye madarasa mapya akimtukana Ndugai huyo nae hatofautian na hz mana
 
Lwahiyo wewe uvccm umebakia na akili za kujikomba hadi unatembea na picha ya mwenyekiti wako hadi mahospitalini na kwa waganga wa kienyeji?
Umenichekesha Sana, kumbe ni huyu?
 
Iwe Wana mapenzi mema ama tofauti bado kitendo wanchofanya ni Cha hovyo Sana na Cha kutia aibu
 
Hahahah aisee hadi aibu naona mimi hahahah aisee hawa sio wazima kabisa vichwani
 
Back
Top Bottom