UVCCM wagonjwa hawahitaji picha ya Rais, acheni hizi propaganda

UVCCM wagonjwa hawahitaji picha ya Rais, acheni hizi propaganda

Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.

Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.

Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?

Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?

Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.

Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?

Dah!
Nimecheka sana aisee hii nchi kuna watu wajinga kujipendekeza sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaza tu ingekuwa mie nimelazwa wodini mnakuja na hilo picha naamka nawazaba vibao na hilo picha napasua[emoji849]
Badala ya kumpelekea mgonjwa matunda, juice au hata maji ya buku mnaleta picha kweli?!
 
Jana nilikuwa naongea na jirani zangu wana ccm wa kutegemewa na chama chao.

Lkn kwa sasa wanasema kabisa kuwa wapo tayari kukipigia kura chama cha upinzani kuliko kuipigia ccm kura kisa Hangaya.
Kwani haupigi mwingi tena kama mlivyokuwa mnamshabikia?
 
Hapa ni kufirisika kwa fikra kwa kiwango cha kimataifa.
Huwezi kudhani ujinga huu unafanyika ndani ya Nchi yenye umri wa MIAKA 60 tangu kupata kwake uhuru.
Ni aibu kubwa sana kwa Taifa letu.
 
Hapa ni kufirisika kwa fikra kwa kiwango cha kimataifa.
Huwezi kudhani ujinga huu unafanyika ndani ya Nchi yenye umri wa MIAKA 60 tangu kupata kwake uhuru.
Ni aibu kubwa sana kwa Taifa letu.
CCM ndiyo wanalidhalilisha hili taifa kwa kuendelea kuwafanya vijana kupitia uvccm kuwa mazezeta
 
Hahahaha biskuti moja na picha hahahahaha yote kuonesha wanamuunga mkono raisi Ili wapate teuzi
 
Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.

Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.

Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?

Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?

Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.

Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?

Hawa ni usalama wa taifa tupu
 
Jana nilikuwa naongea na jirani zangu wana ccm wa kutegemewa na chama chao.

Lkn kwa sasa wanasema kabisa kuwa wapo tayari kukipigia kura chama cha upinzani kuliko kuipigia ccm kura kisa Hangaya.
Ni hali ya hatari sn
 
Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.

Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.

Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?

Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?

Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.

Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?

Naona kama kampeni ya kitanda kwa kitanda vile.
 
Mambo megine tusifanyie siasa jmn, chichiem acheni ujinga
 
Back
Top Bottom