Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?
majinga sana Hayo yaani nimejikuta nimepanic tuWengi wao hao ni madanga tu hawana mpango kwani unaweza kujikuta unakanyaga miwaya.
Hawa ni chawa pro maxMagufuli alikuwa na chawa ila hawa chawa wa awamu hii wamezidi jamani.
Pole sana kiingozimajinga sana Hayo yaani nimejikuta nimepanic tu
Shabhaaaash!
Kwani haupigi mwingi tena kama mlivyokuwa mnamshabikia?Jana nilikuwa naongea na jirani zangu wana ccm wa kutegemewa na chama chao.
Lkn kwa sasa wanasema kabisa kuwa wapo tayari kukipigia kura chama cha upinzani kuliko kuipigia ccm kura kisa Hangaya.
Ccm ilimalizwa na mecoKabisa, hawafanyi bure
CCM ndiyo wanalidhalilisha hili taifa kwa kuendelea kuwafanya vijana kupitia uvccm kuwa mazezetaHapa ni kufirisika kwa fikra kwa kiwango cha kimataifa.
Huwezi kudhani ujinga huu unafanyika ndani ya Nchi yenye umri wa MIAKA 60 tangu kupata kwake uhuru.
Ni aibu kubwa sana kwa Taifa letu.
Hongera dogo umevunja ungo sasa unakataa uchawa.Vijana tufanye kazi tuache kujipendekeza kwa viongozi wa nchi.
Tujipendekeze kwa Mungu zaidi maana yeye ndiye anayetoa hayo mamlaka kwa hao tunaopambana kujipendekeza kwao.
Hawa ni usalama wa taifa tupuUnaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?
Kizazi cha laana snWatu wanajua watapata ulaji kwa kufanya maigizo ya kijinga jinga. CCM imelea kizazi cha ajabu sana.
Ni hali ya hatari snJana nilikuwa naongea na jirani zangu wana ccm wa kutegemewa na chama chao.
Lkn kwa sasa wanasema kabisa kuwa wapo tayari kukipigia kura chama cha upinzani kuliko kuipigia ccm kura kisa Hangaya.
Naona kama kampeni ya kitanda kwa kitanda vile.Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?