Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wengi wameamua kuachana na ccmNi hali ya hatari sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wameamua kuachana na ccmNi hali ya hatari sn
Hakuna mtu wa kuwachagua haoNaona kama kampeni ya kitanda kwa kitanda vile.
Hii ni immaturity,Sasa Picha ya nini?Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Unaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?
bado wewe tuMagufuli alikuwa na chawa ila hawa chawa wa awamu hii wamezidi jamani.
HahahahaMagufuli alikuwa na chawa ila hawa chawa wa awamu hii wamezidi jamani.
Mkuu kumbuka na wewe ulikuwa chawa wake.Magufuli alikuwa na chawa ila hawa chawa wa awamu hii wamezidi jamani.
Ndo anavyopenda,ila nchi imearibika Sana Mambo GANI ya hajabuUnaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?
Mkuu wew pja ulikuwa chawa wa Jiwe aka kichaaVijana tufanye kazi tuache kujipendekeza kwa viongozi wa nchi.
Tujipendekeze kwa Mungu zaidi maana yeye ndiye anayetoa hayo mamlaka kwa hao tunaopambana kujipendekeza kwao.
Ahahahahaaaa Leo ngoja nikupe like hata ya maneno.Magufuli alikuwa na chawa ila hawa chawa wa awamu hii wamezidi jamani.
Jamhuri ya watu wa kushangazaUnaweza kusema umeona kila hadi sasa, Ila ukweli ni kuwa vingi bado hujaviona na pengine ndio mwanzo wa kuviona.
Vijana wa CCM wamepita kwenye hospital na fremu ya picha ya Rais wakiwaonyesha wagonjwa.
Sasa hapa unajiuliza Hawa wagonjwa wakiona picha wanapona au? Lakini ni kwamba hao wagonjwa hawamjui Raisi Mama Samia?
Ni vitu vyakushangaza sana, nchi yetu hii ina vijana wa hivi je kesho tutatoa akina Elon Musk wetu?
Rais anapaswa kukataa hizi mambo maana hazina faifa yoyote kwa wananchi na huenda wanaofanya hivi hawana mapenzi nae bali ni namna tu ya kujipendekeza.
Au tupo kwenye kampeni za uchaguzi mkuu?
Mkuu mimi sikuwa na ujinga wa kiwango hikiMkuu kumbuka na wewe ulikuwa chawa wake.
Umekubali mmezidiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magufuli alikuwa na chawa ila hawa chawa wa awamu hii wamezidi jamani.