UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Tangu lini lilianza/rejea kuizibiti
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Tangu lini umewahi kuona UVCCM wana akili!? Kati ya vijana useless and a great shame to the nation ni UVCCM.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Mhimu Ndugai atolewe kwa njia yoyote ile hata kwa kupigwa mawe
 
Ogopa sana taasisi zinazotumia alama ya mwenge kwenye nembo inayozitambulisha rasmi🐒
images (91).jpeg
 
Tutamuondoa kwa lazima bila huruma
Naamini U-chawa haukulipi, geuka nyuma pambania nji yako. Kuna siku katiba mpya itakuwepo na wahuni wote hawa wanao enjoy saivi watalia na kusaga meno. Ni kitanzi tu kudadeki na hiyo mimali waliyo nayo ni mwendo wa kutaifisha tu
 
Madhambi yake ndiyo yametufanya tusimtetee ni shetani pekee anaweza kumtetea Ndugai
Kama unashindwa kumtetea kwenye ukweli sababu tu alishawahi kufanya uonevu sehemu fulani, basi wewe ni tatizo na huna sifa ya kusimamia haki.
Mtu anatakiwa ahukumiwe kwa kesi iliyoletwa mezani na siyo kuchanganya kesi mbili tofauti ambazo hazihusiani.
 
Vijana wanajimaliza kushoto na kulia huku hawaijui kesho ya Ndugai.

We have seen the same script somewhere . . .

Umoja wa Vijana Zimbabwe ukaandaa hadi hotuba ya kumshushua na kumsema Mnangagwa baadaye Mnangagwa akawa Rais, wale wale waliomtukana wakaenda kumuomba msamaha.
 
Back
Top Bottom