UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

Kama unashindwa kumtetea kwenye ukweli sababu tu alishawahi kufanya uonevu sehemu fulani, basi wewe ni tatizo na huna sifa ya kusimamia haki.
Mtu anatakiwa ahukumiwe kwa kesi iliyoletwa mezani na siyo kuchanganya kesi mbili tofauti ambazo hazihusiani.
sina laana kwenye ukoo wetu kiasi kumtetea Ndugai na maovu yake mengi, hii ni golden chance ya kumtoa Ndugai kwenye mamlaka kama alivyokuwa anafanyia wapinzani na kugeuza bunge mali yake binafsi + kumdhalilisha Mbowe kama vile ni mhamiaji haramu
 
Vijana wanajimaliza kushoto na kulia huku hawaijui kesho ya Ndugai.

We have seen the same script somewhere . . .

Umoja wa Vijana Zimbabwe ukaandaa hadi hotuba ya kumshushua na kumsema Mnangagwa baadaye Mnangagwa akawa Rais, wale wale waliomtukana wakaenda kumuomba msamaha.
Ndugai hata shetani hawezi kumuomba msamaha
 
Alimfanyia Mh lissu uovu mkubwa sana, alitumia madaraka yake kumtesa na kumdhurumu haki yake, maskian ya Mungu kijana wa watu Mh lisu akaa kimya na kuamua kumuachia Mungu wa haki, na hili ni trela tu bado picha kamili linakuja kwa wale wote walioshiriki kumfanyia maovu mwana wa Mungu hyu. Tuendelee kusubiri.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Kwani toka lini Bunge la Ndugai likasimamia serikali ya ccm?? Mi naona wako sawa.

Hili hunge likiwepo au lisipokuwepo hakuna impact yoyote.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Huo udhibiti umeanza lini?kuna awamu ambalo limechezewa kuliko awamu ya 5?lilifanya nini?kwa Tz hata bila bunge mambo yatakwenda tu
 
Asipojiuzulu?
Anavuliwa uanachama chapu shughuli nzima inakuwa imeishia hapo.

Tena bora awahi kujiuzulu nafasi ya uspika tu ili abaki na ubunge wake.

Ila akikaza fuvu basi hata huo ubunge utakwenda na maji nyie endeleeni tu kumdanganya. Na hivi ccm kila kona wamemkomalia hawezi kuchomoka walikuwa wanamlia timing tu kwa kiburi chake.
 
Anavuliwa uanachama chapu shughuli nzima inakuwa imeishia hapo.

Tena bora awahi kujiuzulu nafasi ya uspika tu ili abaki na ubunge wake.

Ila akikaza fuvu basi hata huo ubunge utakwenda na maji nyie endeleeni tu kumdanganya. Na hivi ccm kila kona wamemkomalia hawezi kuchomoka walikuwa wanamlia timing tu kwa kiburi chake.
Mimi nilijua adui wa Ndugai ni wapinzani tu wa Chadema
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Hayo alitakiwa ayazungumzie ndani ya vikao halali vya bunge ndipo kinga na mamlaka yake ilipk lakini kuzungumzia kwenye vikao vya kikabila ni kutafuta kiki zisizo na maana na bahati mbaya alim attack Rais personally sio serikali. Hapo ndipo chuki ya wazi ilipoonekana.
 
Back
Top Bottom