UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

sina laana kwenye ukoo wetu kiasi kumtetea Ndugai na maovu yake mengi, hii ni golden chance ya kumtoa Ndugai kwenye mamlaka kama alivyokuwa anafanyia wapinzani na kugeuza bunge mali yake binafsi + kumdhalilisha Mbowe kama vile ni mhamiaji haramu
 
Ndugai hata shetani hawezi kumuomba msamaha
 
Alimfanyia Mh lissu uovu mkubwa sana, alitumia madaraka yake kumtesa na kumdhurumu haki yake, maskian ya Mungu kijana wa watu Mh lisu akaa kimya na kuamua kumuachia Mungu wa haki, na hili ni trela tu bado picha kamili linakuja kwa wale wote walioshiriki kumfanyia maovu mwana wa Mungu hyu. Tuendelee kusubiri.
 
Kwani toka lini Bunge la Ndugai likasimamia serikali ya ccm?? Mi naona wako sawa.

Hili hunge likiwepo au lisipokuwepo hakuna impact yoyote.
 
Huo udhibiti umeanza lini?kuna awamu ambalo limechezewa kuliko awamu ya 5?lilifanya nini?kwa Tz hata bila bunge mambo yatakwenda tu
 
Huo udhibiti umeanza lini?kuna awamu ambalo limechezewa kuliko awamu ya 5?lilifanya nini?kwa Tz hata bila bunge mambo yatakwenda tu
Kuna vyombo tanzania vinakula pesa ya umma tu bure kama bunge.
 
Asipojiuzulu?
Anavuliwa uanachama chapu shughuli nzima inakuwa imeishia hapo.

Tena bora awahi kujiuzulu nafasi ya uspika tu ili abaki na ubunge wake.

Ila akikaza fuvu basi hata huo ubunge utakwenda na maji nyie endeleeni tu kumdanganya. Na hivi ccm kila kona wamemkomalia hawezi kuchomoka walikuwa wanamlia timing tu kwa kiburi chake.
 
Mimi nilijua adui wa Ndugai ni wapinzani tu wa Chadema
 
Hayo alitakiwa ayazungumzie ndani ya vikao halali vya bunge ndipo kinga na mamlaka yake ilipk lakini kuzungumzia kwenye vikao vya kikabila ni kutafuta kiki zisizo na maana na bahati mbaya alim attack Rais personally sio serikali. Hapo ndipo chuki ya wazi ilipoonekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…