UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

Kuishi bila ufisadi akshindwa akarudi ufisadini.
... nimefuatilia sana huu mnakasha nikisubiri yule mhuni Crimea ajibu hii nondo; ni karibu masaa mawili sasa namwona kwenye nyuzi nyingine haiyumkiniki hajaona hii kitu! Safi sana; very brief, clear, loud, and to the point! Maneno 6 tu yametosha kuziona nyeti za kuku!
 
Maadamu lilishaongelewa walitakiwa wasiendeleze maneno maneno kwani hii inapelekea kionekana kama CHAMA CHA MIPASHO. Kwa ukongwe wake kilikuwa na uwezo wa kulitatua hili kwa njia nzuri tuu bila kuleta taharuki.
 
Ndungai kashawapiga matatu bila Wala hajihudhuru
 
Kesho samia akimuita ndugai ikulu..wakasameheana wakagonga glass..nyumbu wa uvccm watapiga uturn ya nguvu..hakina ccm ni chama chakavu hata vijana hawatumii akili zaidi..kimsingi ninwasaka teuzi au wachumia tumbo.

#MaendeleoHayanaChama
 
We mpumbavu nini? Fafanua makosa ya serikali awamu ya 5 ambayo bunge halikusimamia.
Pole ninajua hali uliyonayo, kwani sukuma gang kwa sasa mnaruka na kukanyagana!!jinsi mungu alivyofundi ameshalichukua kubwa la mashetani, sasa li naibu lake liko kwenye hali tete sana!!hivi kwa uwezo wa kibinadamu kuna ambaye angeweza kuhisi kuwa siku moja , yatalikuta haya?kwa ubabe wote ule aliokuwa nao?
 
Kesho samia akimuita ndugai ikulu..wakasameheana wakagonga glass..nyumbu wa uvccm watapiga uturn ya nguvu..hakina ccm ni chama chakavu hata vijana hawatumii akili zaidi..kimsingi ninwasaka teuzi au wachumia tumbo.

#MaendeleoHayanaChama
Ni kweli wale ni wasaka fulsa!!ila kwa MBUNGI hii ilipofikia hilo ni gumu sana kutokea.Jamaa ndio basi tena.
 
Kweli yametimia.

#MaendeleoHayanaChama
Siku zote walipokuwa wakiambiwa TZ, hakuna mihimili mitatu, bali kuna mmoja tu walikuwa wana kataa, sasa yako wapi??kwani kama muhimili wa bunge ungekuwa imala wala hili lisingekuwa tatizo, MfanoUSA, kipindi cha trump na yule spika nancy pelosi, kila siku walikuwa ni kupingana tu lakini hakuna tatizo lolote!!hata leo hii jaji mkuu ajichanganye tu amekwishaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…