Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Acha utoto wako hapa weweHakuna laana yoyote hayo ni maneno matupu.
Kifo ni kifo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto wako hapa weweHakuna laana yoyote hayo ni maneno matupu.
Kifo ni kifo.
Hivyo ni vijidrama drama tu.Acha utoto wako hapa wewe
Waambie waache kuwaonea wakinzani wa CCM ili waishi kwa amani.Amang"ana ghasarikire!Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.
Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.
Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.
Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
SubhanAllah!😎Hivyo ni vijidrama drama tu.
Kifo ni kifo.
Kazi iendelee.
Jeshi lipi sasa, kwani habari za watekaji na mauaji umezisikia jana kwa huyo mwenyekiti wako wa CCM? jeshi halifanyi chochote, kwani yule katibu wa chama pale Iringa yule aliyeuwawa na hao hao wasiojulikana umesikia taarifa yoyote?Ungesaidia jeshi la polisi kutoa ushahidi wako maana inaonyesha unawafahamu wauaji
huo ndiyo ungwana, na huo ndio utu katika uongozi.Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.
Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.
Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.
Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Mtoto mkundu kweli wewe.UVCCM na CCM yote kwa ujumla wake imekuwa ikilaani na kukemea matukio ya aina hiyo.
Majuzi tu hapa Mwenezi wetu na msemaji mkuu wa chama chetu cha CCM Taifa Ndugu CPA Amos Gabriel Makalla amelaani vifo vya watu vilivyotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hata Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia amekuwa akilaani sana mauji ya watu na kuagiza kufanyika kwa Uchunguzi
Uwe na subira.watu walishaanza kukamatwa kwa ajili ya mahojianoJeshi lipi sasa, kwani habari za watekaji na mauaji umezisikia jana kwa huyo mwenyekiti wako wa CCM? jeshi halifanyi chochote, kwani yule katibu wa chama pale Iringa yule aliyeuwawa na hao hao wasiojulikana umesikia taarifa yoyote?
Astaghifilullah!🙄Mtoto mkundu kweli wewe.
Wauaji wakubwa nyie sasa mnaanza kumalizana wenyewe mkigombea rushwa ya uchaguziEndelea kuropoka ropoka hapa kama mlevi wa gongo
Wamekamatwa au wametekwa kwa ajili ya mazungumzo?Uwe na subira.watu walishaanza kukamatwa kwa ajili ya mahojiano
WamekamatwaWamekamatwa au wametekwa kwa ajili ya mazungumzo?
wewe mbona huna subira umeshapiga ukunga, na wewe kuwa nasubira matamko tamko na kujifanya kulaani mnalaani nini mnaacha kuwa na subiraUwe na subira.watu walishaanza kukamatwa kwa ajili ya mahojiano
Wanalaani (kijijini kwetu tunaita kuloloma/kusemasema maneno ya uchungu kwa maapizo)huku wanalia.Hi kulaani vikali ndio nini 🤔🤔🤔🤔🤔
Kwa hiyo unataka tukae kimya kama wendawazimuwewe mbona huna subira umeshapiga ukunga, na wewe kuwa nasubira matamko tamko na kujifanya kulaani mnalaani nini mnaacha kuwa na subira