UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Waambie waache kuwaonea wakinzani wa CCM ili waishi kwa amani.Amang"ana ghasarikire!
 
Ungesaidia jeshi la polisi kutoa ushahidi wako maana inaonyesha unawafahamu wauaji
Jeshi lipi sasa, kwani habari za watekaji na mauaji umezisikia jana kwa huyo mwenyekiti wako wa CCM? jeshi halifanyi chochote, kwani yule katibu wa chama pale Iringa yule aliyeuwawa na hao hao wasiojulikana umesikia taarifa yoyote?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
huo ndiyo ungwana, na huo ndio utu katika uongozi.

kama Taifa inafaa kukemea unyama huu wa kikatili kwa nguvu zote na kuhakikisha tunaliombea jeshi la polisi nchini kuhakikisha wahusika wote wanatiwa nguvuni mara moja, na hatua kali za kisheria dhidi yao zinachukuliwa ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia au mipango kama hiyo.

R.I.P comrade Michael Kalinga
 
UVCCM na CCM yote kwa ujumla wake imekuwa ikilaani na kukemea matukio ya aina hiyo.

Majuzi tu hapa Mwenezi wetu na msemaji mkuu wa chama chetu cha CCM Taifa Ndugu CPA Amos Gabriel Makalla amelaani vifo vya watu vilivyotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hata Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia amekuwa akilaani sana mauji ya watu na kuagiza kufanyika kwa Uchunguzi
Mtoto mkundu kweli wewe.
 
Jeshi lipi sasa, kwani habari za watekaji na mauaji umezisikia jana kwa huyo mwenyekiti wako wa CCM? jeshi halifanyi chochote, kwani yule katibu wa chama pale Iringa yule aliyeuwawa na hao hao wasiojulikana umesikia taarifa yoyote?
Uwe na subira.watu walishaanza kukamatwa kwa ajili ya mahojiano
 
Tanzania eti nchi ya wasiojulikana, inakumbatia watu ambao hawatakiwi wajulikane?
 
Serikali ya chama chako imejifanya haioni malalamiko ya watu kupotea wala kuuliwa.Siku hizi msemo ni watu wasiojulikana - ndo imekuwa kichaka cha watu waovu, polisi na serikali wenyewe.
Majibu mmeanza kuyapata - mkuki kwa nguruwe- kwa binadamu mchongo.
Nyie endeleeni kufumbia macho mauaji yanayotokea....Sote tutaguswa tu...
Na wewe Lucas usifiri sana uko salama kwa sababu kutwa kuchwa unasifia na kuabudu chama chako na serikali..kumbuka hivyo vyote ni taasisi na sio mtu....hata wewe pia unawezajichanganya wakadeal na wewe.
Watu wote kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu - tungekemea haya mambo ya kuuana..
Nyie CCM mnakuwa waoga na wanafiki - shauri yenu..NA MTAGUSWA TU....we are not safe
 
Back
Top Bottom