kwani ukipiga kelele kama mwendawazimu unabadilisha nini, tuwe na subira wewe hiyo subira umekushinda? watu wanatekwa na kuuwawa taarifa zinatolewa kila siku hakuna chochote kimefanyika, tulia hivyo hivyo dawa ikuingieKwa hiyo unataka tukae kimya kama wendawazimu
Kuna ripoti yoyote ya uchunguzi iliyotokana na agizo la rais uliwahi kuisoma popote au bado wanaendelea kufanya uchunguzi.UVCCM na CCM yote kwa ujumla wake imekuwa ikilaani na kukemea matukio ya aina hiyo.
Majuzi tu hapa Mwenezi wetu na msemaji mkuu wa chama chetu cha CCM Taifa Ndugu CPA Amos Gabriel Makalla amelaani vifo vya watu vilivyotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hata Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia amekuwa akilaani sana mauji ya watu na kuagiza kufanyika kwa Uchunguzi
CCM tunalaani sana vitendo hivi vya kihalifu bila kujali itikadi za kisiasaSerikali ya chama chako imejifanya haioni malalamiko ya watu kupotea wala kuuliwa.Siku hizi msemo ni watu wasiojulikana - ndo imekuwa kichaka cha watu waovu, polisi na serikali wenyewe.
Majibu mmeanza kuyapata - mkuki kwa nguruwe- kwa binadamu mchongo.
Nyie endeleeni kufumbia macho mauaji yanayotokea....Sote tutaguswa tu...
Na wewe Lucas usifiri sana uko salama kwa sababu kutwa kuchwa unasifia na kuabudu chama chako na serikali..kumbuka hivyo vyote ni taasisi na sio mtu....hata wewe pia unawezajichanganya wakadeal na wewe.
Watu wote kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu - tungekemea haya mambo ya kuuana..
Nyie CCM mnakuwa waoga na wanafiki - shauri yenu..NA MTAGUSWA TU....we are not safe
Atulie hivyo hivyo, taarifa zikitoka wanasema ni drama, kwao vinawauma, acha drama ziendelee hata huko huko huko kwaoSerikali ya chama chako imejifanya haioni malalamiko ya watu kupotea wala kuuliwa.Siku hizi msemo ni watu wasiojulikana - ndo imekuwa kichaka cha watu waovu, polisi na serikali wenyewe.
Majibu mmeanza kuyapata - mkuki kwa nguruwe- kwa binadamu mchongo.
Nyie endeleeni kufumbia macho mauaji yanayotokea....Sote tutaguswa tu...
Na wewe Lucas usifiri sana uko salama kwa sababu kutwa kuchwa unasifia na kuabudu chama chako na serikali..kumbuka hivyo vyote ni taasisi na sio mtu....hata wewe pia unawezajichanganya wakadeal na wewe.
Watu wote kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu - tungekemea haya mambo ya kuuana..
Nyie CCM mnakuwa waoga na wanafiki - shauri yenu..NA MTAGUSWA TU....we are not safe
mkishalaani, haya ndio tufanye umeshalaani nini kimetokeaCCM tunalaani sana vitendo hivi vya kihalifu bila kujali itikadi za kisiasa
Kulaani kwa unafiki ni uzandiki tu. Inapswa haya mambo kuzuiwa kujitokeza hata yakitokea kwa urefu wa mkono wa serekale washenzi wote wangekuwa wanatia mikononi mwa polisi na kukutana na adhabu kali mahakamani.UVCCM na CCM yote kwa ujumla wake imekuwa ikilaani na kukemea matukio ya aina hiyo.
Majuzi tu hapa Mwenezi wetu na msemaji mkuu wa chama chetu cha CCM Taifa Ndugu CPA Amos Gabriel Makalla amelaani vifo vya watu vilivyotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hata Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia amekuwa akilaani sana mauji ya watu na kuagiza kufanyika kwa Uchunguzi
Kifo ni kifo tuAlivyouliwa kibao si mliponda
Ova
Ondoa wasiwasi wahusika wote watakamatwa na kufikishwa mahakamani.Kulaani kwa unafiki ni uzandiki tu. Inapswa haya mambo kuzuiwa kujitokeza hata yakitokea kwa urefu wa mkono wa serekale washenzi wote wangekuwa wanatia mikononi mwa polisi na kukutana na adhabu kali mahakamani.
Hao UWT hawana akili timamuWeka hapa barua ya kulaani hayo mauji au uliiona peke yako
Wakikamatwa ndiyo uhai wake utarudi? dawa ni kuzuia haya matendo ya kishenzi, mwanzo mliona CHADEMA wanaigiza sababu akili zenu ni za kijinga.Ondoa wasiwasi wahusika wote watakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Kwa hiyo unataka wasikamatwe? Tambua ya kuwa katika jamii wapo watu wana mawazo ya kishetani na hao tunaishi nao kwenye jamii yetu na wakati mwingine tunashindwa kutoa taarifa ilihali tunawafahamu.najua hata wewe pamoja na ujinga wako wote unafahamu ukweli huuWakikamatwa ndiyo uhai wake utarudi? dawa ni kuzuia haya matendo ya kishenzi, mwanzo mliona CHADEMA wanaigiza sababu akili zenu ni za kijinga.
UWT saidieni nchi, walipoanza kuuawa CHADEMA mlikuwa kimya Mwenyekiti wenu akasema ni drama badala ya kuzuia tatizo mnaitaka drama, Mwenyekiti wenu ni katili na mtu wa hovyo kabisa japo amejificha kwenye dini. Hatuwezi kuruhusu utekaji na mauji kisa wanaouliwa ni CHADEMA inatakiwa utu kwanza hata kama ni nyie UWT au ACT tukemee kwa pamoja.Kwa hiyo unataka wasikamatwe? Tambua ya kuwa katika jamii wapo watu wana mawazo ya kishetani na hao tunaishi nao kwenye jamii yetu na wakati mwingine tunashindwa kutoa taarifa ilihali tunawafahamu.najua hata wewe pamoja na ujinga wako wote unafahamu ukweli huu
Aliposema mama yako kuwa hizi ni drama tu alikuwa amekufa mbwa!!???Kwamba hajafa mtu?
Kwa hiyo mama yako aliyesema kifo ni kifo ni mtoto!!??Acha utoto wako hapa wewe
Kifo ni kifo tu: Samia Suluhu HassanNdugu zangu Watanzania,
Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.
Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.
Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.
Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Ndio KAZI ya UVCCM!Mke wa mtu sumu
Mmefikiwa?? Basi huo ndo uchungu wanapata ndugu zào na wale mnaowaua Kila siku.UVCCM na CCM yote kwa ujumla wake imekuwa ikilaani na kukemea matukio ya aina hiyo.
Majuzi tu hapa Mwenezi wetu na msemaji mkuu wa chama chetu cha CCM Taifa Ndugu CPA Amos Gabriel Makalla amelaani vifo vya watu vilivyotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hata Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia amekuwa akilaani sana mauji ya watu na kuagiza kufanyika kwa Uchunguzi