Elections 2015 UVCCM yamvaa LOWASSA, yakerwa na kauli zake za kutetea wabakaji, wamshangaa SUMAYE

Sasa kama Lowasa ameshindwa si ndio ingekuwa furaha kwenu? Mbona mnapata kichefuchefu kwa mimba zisizowahusu?
Huyo ndiye rais ajaye lazima watoe tathmini.
 
Kama alichemsha hotuba si ndio raha kwenu?

Mbona sijui ilani ya ccm wala siihitaji kuijua
 
Kufeli kwa CHADEMA kunawahusu nini UVCCM? Eti wanasema walitarajia Lowassa akonge nyoyo zao......mmmmh hapa nina mashaka na uimara wa UVCCM. Awakonge nyoyo ili iweje? Adui yako mwombee njaa. Jamani tupeni sisi hiyo CCM tuiendeshe mwone tutakavyoifanya chama imara.....
 
Sie ukawa hatutaki maneno mengi yasiyo na faida, we ulitaka naye aanze kukariri lugha za makabila mbalimbali masuala ya ngojera pereka huko. Mtu unachagua vitu viwili au vitatu kama alivyosema vingine vyote vitakuja tu cha msingi ni usimamiz mzur wa uchumi
 




“CCM wanawajaza Watanzania kitu kinaitwa woga wa usilolifahamu au woga wa usilolijua kwa hiyo kila siku wanawaambia Watanzania mkiwapa wapinzani nchi itaingia kwenye vita,” alisema Sumaye.

Jana mgombea wao ameanza kutishia watu , eti msikimbilie mabadiliko angalieni Libya. Atakuwa raisi wa namna gani kama hawezi kutofautisha AK 47 na KICHINJIO. Mh lakini kuchinjwa noma! Kwao, tuwachinje tuuu.
 
Kashindwa. Kashindwa. Kashindwa.

Nyie mmeweza nini cha msingi miaka 50 na ushee?

Zungumzieni yenu. Lowassa sio mwanasiasa wa majukwaani. Yeye ni mtendaji.

Acheni porojo. Kama ni ilani, hotuba ilitangazwa na nakala zimesambazwa.

Ajabu kweli kweli. Miraji kapewa tenda ya T-shirt na vinginevyo, bado mwaishabikia CCM?

Sisi twasema CCM ni Biashara. Ingekuwa chama Lowassa asingehama.

Tunaleta #Mabadiliko2015. Kama mna nguvu ya kuyazuia, yazuieni!
 
Sindano zimegusa mifupa na dawa imefika katika jeraha.
Kumbe mlikua mnafuatilia live hatua kwa hatua? Neno kwa neno?
Ni furaha kuona mpinzani wako anakufuatilia namna hii.

Tena kwa maneno yao wenyewe wanakiri "hadhira ilikuwa kubwa...." Na bado,kutwa kumsema Lowassa wakati Mgombea wao jana alikuwa ananong'ona na MIC Mbeya.Mimi nilishaamua hivyo,hata ingekuwa picha ya Lowassa tu hapo Jukwaani,kura yangu nitampigia.CCM iondoke kwanza,mengine baadae.
 
kiherehere chenu nyie mauvccm mlikuja kumuangalia na kumsiliza mh.lowasa mlizani atawasifia nyie maboya mimi ukawa sinaga ata mda wa kusikiliza uyo raisi wenu anayetegemewa kumkabizi lowasa madaraka wala siwezi msikiliza kiongozi yeyote wa ccm mahana naweza kutapika aise chalii yangu
 

Hahaahaaa!...ukweli utawauma sana hawa MAFISIEMU SIO SIRI,Alafu mkuu umesahau ile point kwenye ilani ya MAGUFULI anayosema "ATATENGA MILLION.50 KILA KIJIJI KWA AJILI YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI" NA ILE ALOSEMA ATAJENGA "BARABARA YA NJIA SITA YENYE FLYOVER SABA"...AMBAVYO VYOTE HIVYO NI UONGO ULIOTUKUKA KABISA maana tukianza na hilo la million.50 kwa kila kijiji...kwa hapa TANZANIA TUNA VIJIJI ZAIDI YA ELFU TATU HIVYO KWA AHADI HIYO INATAKIWA ITENGWE ZAIDI YA TILLION 1.5 KWA KAZI HIYO JEE HII INAWEZEKANA? IKIWA SERIKALI INA MALIMBIKIZO NA MADENI YA WALIMU NA MAKANDARASI KIBAO NA HAIJAWALIPA HADI DAKIKA HII,TUJE NA HILO LA BARABARA YA NJIA SITA YENYE FLYOVER SABA KITU AMBACHO NI UONGO ULIO WAZI IKIWA MWENZIE JK ALIFELI KUTEKELEZA AHADI YAKE YA BARABARA YA "JUU NA CHINI" PALE UBUNGO MATAA ALIYOHAIDI MWAKA 2005 KWENYE KAMPENI ZAKE ZA KUGOMBEA URAIS HADI LEO HII HAJAFANYA HILO,NDO ATAFANYA YEYE??...TENA IKIWA HILO LAKE NI KUBWA ZAIDI YA ILO LA JK SASA.
 
Liuzi lirefu hivi kumpamba mpinzani. Pole sana makitoro
 
Last edited by a moderator:

Wanataka tuletewe porojo kama zile ahadi 68 za JK za 2010,hakuna hata tano tu zilizotekelezwa,matokeo yake Mgombea wa sasa anajikuta anaahidi kitu kile kile kilichoahidiwa na Kikwete 2010.Maneno meengi utendaji sifuri.Bora bubu lakini mtendaji.CCM itoke kwanza,mengine baadae!
 
Sindano zimegusa mifupa na dawa imefika katika jeraha.
Kumbe mlikua mnafuatilia live hatua kwa hatua? Neno kwa neno?
Ni furaha kuona mpinzani wako anakufuatilia namna hii.

Hahahaaaa kwa kweli umenikosha na comment yako
 
UVCCM ni moja ya taasisi zilozopoteza mvuto kwa vijana! sababu moja kuu ni kua imekua ikitumika kuandaa watoto wa vigogo kuwa wanyang'anyi badala ya kuandaa viongozi wa baadae. uvccm imebakia kama kijiwe cha wapika majungu na walevi na waganga njaa haina mvuto na ushawishi kwa vijana tangu nchimbi amalize muda wake na pia uvccm ni tofauti na youth tanu iliokua ikiandaa viongozi wa baadae!
 
Zipo taarifa humu kuwa Bashe mgombea Ubunge Nzega kwa tiketi ya CCM amesema Lowassa anatosha, UVCCM zungumzieni hilo, kumjibu Lowassa hakutasaidia kuongeza kura za Magufuri.
 
Inaonesha jinsi mnavyoweweseka, tulieni tu. sindano iwaingie vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…