Uvumi kuwa Mzee Kikwete yupo nyuma ya Uongozi wa Rais Samia unaweza kuwa Kikwazo cha Ufanisi na chanzo cha kuhujumiwa kwake


Kwahiyo hatuendi tena Chato ✈️
 
Inaonekana hiyo statement ndo umetoka kukaririshwa sasa imekuwa tabu kila comment unaishi nayo.

Pia sina muda sana wakkujibizana na watu dizaini yako maana kazi ni nyingi za kufanya hatushindi humu kama ilivyo kwako mkuu.
Mbona umenijibu kama unamambo mengi, mbona unajitekenya alaf unajicheka???
 
Haya ni mawazo ma tako kabisa na ni ya watu ambao mawazo yao ni ya kupumbavu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka na wewe utakufa tu,kifo hakikwepeki , usione furaha kwa mwanadamu mwenzako kutangulia mbele za haki lakini kumbuka kifo ni siri kubwa
Lilivyo Pumbavu na Mwehu lenyewe linadhani na linajidanganya kuwa halitokufa bali litaishi Milele wakati huenda hata Siku zake za Kutuaga hapa duniani zikawa zinakaribia.

Cc: Matola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…