Ndio maana...sawa nyumbuAfadhali kuwa nyumbu kuliko kuwa Sukuma Gang,
Ukiangalia watu wengi waliopata daraja zero au four za mwisho form four wengi huwa ni zero IQ, japo baadaye uweza kujiendeleza anavyojua yeye. Ukiangalia historia ya siasa za nchi hii wanawake wengi na wanaume wale waliopata hizo division. wengi wao ujikomba sana kupata mkate wao wa kila siku , wengine uzidi kupanda zaidi na kushika madaraka makubwa sana lakini kichwani wako empty kabisa, wale ambao wako smart hupotezewa na kuishia kuwa wakosoaji wa mifumo.Hivi rais wa nchi huwa ni "empty set" hadi ategemee ushauri toka kwa watangulizi au kundi la watu fulani? Yeye hana maono yoyote kwa taifa?
Enzi za Magufuli tulisikia anashauriwa vibawa, mara wanaomshauri wanamdanganya. Kuna wale waliotabiri kuwa Magufuli angekuwa controlled remotely from Msoga.
Leo tena mnadai mama anaendeshwa toka Msoga. Je, wote wanaoshika nafasi hii adhimu ni empty y kiasi cha kuendeshwa na mtu fulani?
Kama ni empty set, nini kifanyike ili tupate kichwa chenye kujiendesha kuongoza taifa?
JK Ni shida kwa Taifa na ChamaMwal.alimkataa jk ,hafai kuwa rais mzee aliona mbali Sana! jk ameighakimisha Sana hii nchi.
Mwalimu aliyasema wapi hayo, au ulimnukuu wapi, Jakaya ni mtumishi mzuri sana Hana manenoMwal.alimkataa jk ,hafai kuwa rais mzee aliona mbali Sana! jk ameighakimisha Sana hii nchi.
Nilikuwa sijuiKwani hujui mama alikuwa ni house girl wake na mchepuko