Uvumi kuwa Mzee Kikwete yupo nyuma ya Uongozi wa Rais Samia unaweza kuwa Kikwazo cha Ufanisi na chanzo cha kuhujumiwa kwake

Kuna kigenge Fulani huenda John (rip) alikidhuru sana hivyo namba ya kumsema kinahusisha wasukuma wote ingawa hata Mimi sipendi mijizi.
Watu wanawachafua wasukuma wote wakati huenda john hakuwa msukuma, labda alikulia na kuishi tu huko....
 
Kum-consult ndiyo kum-remote control?
 
Binafsi sijaona tatizo lolote hata kama Rais Samia anaomba ushauri kwa JK, Sababu duniani kote marais walioko madarakani hawezijitenga na watangulizi wake kwakua ndio hazina ya ushauri wa mambo mbalimbali!
 
Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Mkisema watu wa kanda ya ziwq mnamaanisha kina nani ??

Maana mimi mwenyewe natokea kanda ya ziwa ila kati ya jitu ambalo nilikuwa silipendi ni kibwengo Magu.

Sasa kama kwenye familia yenu mlilifanya mungu, usitusingizie watu wa kanda ya ziwa.
 
Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Kama ambavyo yule wa kanda ya ziwa alifanya kitu kibaya kwa Sokoine wa kanda ya kaskazini!!!
 
Asante kunisaidia kuwajibu hao sukuma Gang,..kipindi cha mwenda zake walijiona wenyewe ndo vijeba😂😂😂
Mawazo ya kijinga san haya ya kugawa watu kwa maeneo. Kwa hiyo, sasa wewe unayemtetea mama unaitwa PWANI GANG au KWERE GANG?
 
Ndio akina nani hao
 
Na nyie wapuuzi tushachoka story zenu za vijiwe vya kunywa gongo!

Kwani Kuna ubaya gani Kikwete akiwa mshauri wa Samia?!
Kikwete ni mbobevu kwenye diplomasia na uchumi pia, uwezi kumlinganisha Kikwet na yule kiongoz wa Awamu ya Tano ambae alivuruga uchumi wa Nchi,na uchumi wa mtu mmoja mmoja,
Aliichafua Nchi kimataifa, na karaha zingine nyingi,

Kwaiyo ni sawa tu Kikwete akiwa mshauri wa Rais wa Sasa, nyie endeleeni kuimalisha legasi ya dikteta
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aiseee
 
Lilikuwa linataka lionekane yeye tu kwenye Media
 
Kwa Ubongo Uharo ulionao kamwe hutoweza kunielewa na ni vyema tu ukakaa Kimya au ukawapisha wale Brainy Members wa JF walionielewa waujadili (wajadili) sawa?
Huu utumbo ulioandika hapa wataulewa misukule ya dikteta tu labda
 
Nendeni na Gwajiboy mkamfufue,maana bado hamuamini kuwa hatorudi milele huyo mungu wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…