UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

Sema Kuna ile mnaelewana na mtu wako vzr mnayajenga unampiga miti mnatoka outings ndogo ndogo hata kama ni marangu ina Raha yake bn🤔na katiba ya UWABATA inaruhusu
Raha sana mkuu, waliokwisha ku experience true love wanaelewa.

Ila kina Natafuta Ajira ambao kutwa wanakutana na wezi wenzao hawawezi kutuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…